Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Afadhali umekuja humu ndani nanyanyapaliwa kisa nimesema JPM alikuwa mzuri kwenye ujenzi ila si kwa biashara(trade/commerce/business) na mama yuko poa hiyo sector! Nini maoni yako juu ya hili?
Mkuu Magufuli alikua na mapungufu makubwa katika eneo la demokrasia na kuchanganya uongozi/utalaamu na Mambo ya dini, pia alikua na tabia ya kuropoka hovyo bila kufikiria kwa makini, lakini maeneo mengine alikua mzuri Sana, ikiwemo biashara.

Kwa ufupi Magufuli alikua na akili kubwa Sana, wengi tutamuelewa baada ya miaka kadhaa kupita kutoka Sasa, uwezo wake wa akili ulikua mkubwa sana. Hayo ndio maoni yangu mkuu.
 
Mkuu Magufuli alikua na mapungufu makubwa katika eneo la demokrasia na kuchanganya uongozi/utalaamu na Mambo ya dini, pia alikua na tabia ya kuropoka hovyo bila kufikiria kwa makini, lakini maeneo mengine alikua mzuri Sana, ikiwemo biashara.

Kwa ufupi Magufuli alikua na akili kubwa Sana, wengi tutamuelewa baada ya miaka kadhaa kupita kutoka Sasa, uwezo wake wa akili ulikua mkubwa sana. Hayo ndio maoni yangu mkuu.
at least umeona mapungufu humu ndani watu hawataki kuskia! Mimi niliona mapungufu kwenye kuuhusu wamachinga wafanye kazi popote kwa kitambulisho cha Tshs 20,000! Maduka mengi yamefungwa maana haikuwa na maana kulipa kodi kubwa halafu machinga anakuja kupanga biashara mlangoni kwa malipo ya tshs 20,000 na naona mama akishughulikia hilo huku sekta ya utalii inayochangia 17% ya pato la taifa ishapewa ahueni kwenye tozo na pia naona akijaribu ku-promote tourism kumbuka kazi zaidi ya 100,000 zimepotea toka corona ianze na hakukuwa na recovery plan ya maana kipindi cha mwendazake!
 
Sa hizi naandika hii comment siwezi book sgr train kutoka dar kwenda morogoro lakini kenya naweza book sgr kutoka Nairobi hadi Mombasa tangu 2017 na magufuli alikufa 6 months ago.
Nikitaka stima ya struggling gorge siwezi pata ata nifanye nini. So ni mradi gani huo umekamilika? Magufuli was a failure.
SGR phase one iko 94% 300km
SGR phase two iko 60% 422km
SGR phase five iko 7% 341km
Kumbuka hii ndio reli ya kisasa africa weka akilini 😁😁😁😁

Ww ulitaka tujenge dam kwa siku mbili?
 
Ultra modern and largest library in africa
20210926_165036.jpg
20210926_165039.jpg
20210926_165041.jpg
20210926_165044.jpg
 
SGR phase one iko 94% 300km
SGR phase two iko 60% 422km
SGR phase five iko 7% 341km
Kumbuka hii ndio reli ya kisasa africa weka akilini

Ww ulitaka tujenge dam kwa siku mbili?
So nasema ukweli kua magufuli hakuna mradi alikamilisha ni mdomo tu. Kutoka 2016 hadi sa hii sgr iko 90% complete. Ni uongo tu.
Na nikukumbushe electric train zilikua Zimbabwe 1970s so its nothing new.
 
Back
Top Bottom