Umeona tofaut ya sisi na nyinyi failed state😁😁What an irony, akimaanisha nani
The star bana..kwhyo ruto ndio few sio
Umeona tofaut ya sisi na nyinyi failed state😁😁
Halafu wakati wakiwa na baa la njaa na wakikodisha ndege zao DRC, sisi tunaendelea kushusha vitu!
![]()

#HapaKaziTuTano zinazokuja zinaweza kuwa "Kazi iendelee" maana malipo ya awali yamefanyika budget hii! Msilie ngwee! 🙏 🙏
Na hamna wateja., loss making white elephant., 😂 😂 😂Halafu wakati wakiwa na baa la njaa na wakikodisha ndege zao DRC, sisi tunaendelea kushusha vitu!
![]()
Unamchukia mtu mpaka na slogan kwani umesahau kazi iendelee pia ni slogan yake 2020 2025?Tano zinazokuja zinaweza kuwa "Kazi iendelee" maana malipo ya awali yamefanyika budget hii! Msilie ngwee! 🙏 🙏
Mburula wanafarijiana 😆😃Boss ilo jina unalotumia lazima ata ku QUOTE tu ilo dude ni choko la ccm kwenye ile ID yake aliyo sema ilifungiwa alifunguka kuwa yeye ni mtoto mchele mchele, sasa wewe jina unalo tumia lina neno "TOP" ILO NENO LINA MAANA KUBWA KWA MASHOGA KAMA ULIKUWA UJUI ,wakiliona tu hata inbox utafuatwa wanakulilia uwabandue toptorn Opportunity Cost
Hizi ndio zitakua na screens kila kiti
Na mimi nanyoka nao kama kawaida uzuri wananifahamu vizuriMimi nimetoka huko, tatizo ni watu wasio na staha kwa Samia ambao wanajipambanua JPM disciples na wamo humu kumtukana mama kama vile hawajazaliwa na mwanamke! mambo hayaendi hivyo nadhani uwaambie pia!
Sasa mtu ambae kakataliwa na kuonekana ni mzigo na anatia hasara Nchi wewe unamshabikia wa nini? Tunawaunganisha tuu.😀 Yaani wewe umequote jibu kuuliza swali. Kuna jibu jingine unahitaji?
Sifuati ID wala sura yako,na deal na content za post zake ukipotosha na kumchafua Madam President nanyoka na wewe,so usijihangaishe bure.Dah! Itabidi nibadilishe ID aisee 🤔