Ulitaka waache kutengeneza?unapouliza gharama za nani umeambiwa wanapewa bure or ht wakipewa bure kuna tatzo gani?mbona kitambulisho cha taifa mnapewa bure...
Nway ngoja nikupe madini kidogo upanue ubongo...kitambulisho kikiwa na QR code km alivyozindua Mwinyi inafungua endless possibilities...kwa mfano, behind the scene inaweza kuunganishwa na mifumo ya TRA na Mobile money Provider, ukifika kwa mamantilie unapata huduma ukimaliza una scan QR Code yake unamlipa, hela inaingia kwenye mobile money wallet yake, at the time TRA wanakata kodi yao just like when u pay
kfc bt now tumeishusha kwa wafanyabiashara wadogo wadogo...this can help on cashless transactions move kwa wafanya biashara wadogo wadogo.
I Bet na ujuaji wako hili hukuliwaza...nway now you know..Chears.
Note: vitambulisho vya Mwinyi sio Biometric as you claimed, Nenda ka google uelewe nn maana ya Biometric then upunguze ujuaji.