Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Kuna mmoja katia fora,yan hadi wenzie wamemcheka na kumuambia ukweli aache roho ya kimungiki maana huyu now ni zamu ya dar,jamaa anadai hadi mount kilimanjaro tunashare nao!Mmeangalia Comments za ndugu zetu kaskazini? Ni battle kama hapa
Sent from my iPhone using JamiiForums



... bas tu niendelee kuwaza hiv hiv pengine ipo siku haya yatatendeka 


