Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mmeangalia Comments za ndugu zetu kaskazini? Ni battle kama hapa


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna mmoja katia fora,yan hadi wenzie wamemcheka na kumuambia ukweli aache roho ya kimungiki maana huyu now ni zamu ya dar,jamaa anadai hadi mount kilimanjaro tunashare nao!
 
Tutaufànyia kazi ushauri wako
Hizi hela za utalii ni nying sana. Inafika sehem nawazaga sana kwann wasitoe hata $0.5 B wajenge mfano viwanja vya mpira vya kimataifa mf kule Arusha au hata hospitali ya kimataifa kule dodoma .. center ya nchi ... “J.K.Nyerere International Hospitali “ ... bas tu niendelee kuwaza hiv hiv pengine ipo siku haya yatatendeka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_1552122270.441391.jpg
 
Hizi hela za utalii ni nying sana. Inafika sehem nawazaga sana kwann wasitoe hata $0.5 B wajenge mfano viwanja vya mpira vya kimataifa mf kule Arusha au hata hospitali ya kimataifa kule dodoma .. center ya nchi ... “J.K.Nyerere International Hospitali “ ... bas tu niendelee kuwaza hiv hiv pengine ipo siku haya yatatendeka
Umeme wa uhakika na uwanja wa mpira kipi cha muhimu kwa sasa? Je hospital ya Mkapa huioni Dodoma?
 
Hizi hela za utalii ni nying sana. Inafika sehem nawazaga sana kwann wasitoe hata $0.5 B wajenge mfano viwanja vya mpira vya kimataifa mf kule Arusha au hata hospitali ya kimataifa kule dodoma .. center ya nchi ... “J.K.Nyerere International Hospitali “ ... bas tu niendelee kuwaza hiv hiv pengine ipo siku haya yatatendeka
Dodoma kweli inahitaji hosp nyingine kubwa. Ila Magu ameliona mchakato umesha anza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
i'm 100% sure this video is pissing off some kenyans....they don't like it. they would like it be removed from youtube.
Unaeza uka ichukulia Dar poa kwakua unaishi hapa, ila hizo comments kwenye hiyo video imenionyesha jinsi Dar ilivyo juu. Sasa hizi projects zinazoendelea ziki isha si ndiyo itakua balaa tupu

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Unaeza uka ichukulia Dar poa kwakua unaishi hapa, ila hizo comments kwenye hiyo video imenionyesha jinsi Dar ilivyo juu. Sasa hizi projects zinazoendelea ziki isha si ndiyo itakua balaa tupu

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Yan ndo nilichokuwa nawaza hiko hiko man ...kama hujawai tembea cities nyingne unaweza chukulia Dar poa ....nawaza hapa Selender bridge,BRT phase 2,3 and 4,Mbezi Luis Bus terminal,DMDP, Msimbazi Park Project ,Ubungo Interchabge,Kimara -Kibaha Highway

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom