Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😀 it's like that chopper has been photoshoped there if you can't provide múltiple pictures... Or let me ask, is it functional?
Screenshot_20170724-203938.jpg
 
Now you are convincing me when i get different angle shots... Can it land a chopper ama tu ni ya madoido
Tujenge helipad alaf iwe madoido wewe akili yako sio salama kama umechoka pumzika
😀😀😀😀😀😀
 
Baaday muda Nairobi itaanza ku compete na Arusha. Achilia mbali Mwanza maana jiji la mwanza lipo kando kando ya ziwa Victoria. Kwahiyo lipo na advantage kubwa ya kuwa na mvuto.

Arusha na Mwanza ni majiji yanakuwa kwa kasi. Huku Arusha ikijinasibu kwa utalii na diplomatic city. Wakati mwanza ikijimasibu kwa biashara za madini na utalii wa ziwani.
Ukija kuangalia katika mazingira mwanza ipo na opportunities nyingi za kukua na kuwa jiji la kisasa zaidi. Wakati huohuo Arusha inaweza kupambana na Nairobi na kutoana jasho in near future.

Bila kusahau Tanga na Mtwara huku tukinogesha kibwagizo cha visiwa vinavyo nukia udi na uvumba vya unguja na pemba. Sehemu hizo in near future vitaifanya kenya ionekane kama kijijini maana hakuna namna.

Hapo sijaongelea Mbeya na beach zake zilizopo katika ziwa nyasa yaani matema beach. Huku mbeya ikipambwa na hali yahewa nzuri yenye ukijani wa kuvutia. Mbeya inasifika kwa kilimo cha mpunga. Wali wake mtamu na wa kivuti.

Bila kusahau kisiwa cha mafia kinaweza kuwafanya vijana wa Kenya waonekane washamba ki mtindo. Maana huko utavutiwa na minazi iliyopandwa kwa staha ya hali ya juu. Huku ikiongezewa mapambo ya beach nzuri na upepo mwanana unaotoka bahari ya hindi. Bila kusahau kuongelea na samaki aina ya dolphin, samaki hawa wanasifika kuwa na akili sana.

Bila kusahau Kigoma, mji ulio kando kando ya ziwa Tanganyika. Kigoma inasifika kwa uvuvi wa samaki aina ya mugebuka na kilimo ya michikichi inayotupatia mafuta ya mawese. Utamaduni wa huko utavutia wengi maana unafanana kabisa na utamaduni wa pwani ya mashariki. Utakutana na usafiri ya majini na meli kongwe kabisa iliyoachwa na mjerumani.

Kenya hakika watu wake bado ni washamba wamejazwa ujinga wa kikiloni.
yaani hawa we waache tu......tuendelee na draft letu la ushindi
 
kwa data za bandia sawa kama bbc walivosema asilimia 90 ya wakenya huamini na kuskia habari bandia
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
sikutoka kwa government yao .....wanamezeshana matope.....mwisho wa siku duniani watazidi kuumbuka.......watabaki na mbio zao za njaa kwenye marathon
 
Nionyeshe hii sasa
nipee jibu
Photos far from cbd but cbd in the background.... Its unavailable in dar..mulisa,ichoboy,annael,nduda,tz one etc plz post me only one photo equivalent to this
f704b8afac94c1ca8b6aed33cea8f7dc.jpg
.
1b2a698310926c44b6ee36b23f53f2f5.jpg
d26f6e6ea3c202c16bed0dbe26b237af.jpg
f9d19e8b5cc134cbfa90b9fc6d83011f.jpg
771501bef2db843a96674d2fd0f5be43.jpg
61afa0a969a2da0dc16f4b724918c312.jpg
86bcad834e20ea0500541b76ae0ecbd3.jpg
228450c235c20efc0d8b9d54cce66b6c.jpg





sent from iPhone 7
siyo siri collo unaelekea kuwa teja
 
Back
Top Bottom