Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

population ya kirikuu ?
Twende twende. Kariakoo ni soko kubwa Africa. Pale ndio makao makuu ya timu za Simba na Yanga.
Hizo timu ndizo zinafanya moja derby kubwa barani Africa zinapatikana kariakoo.

Acha kuifananisha kariakoo na mambo ya kipuuzi ya mombasa. Sana sana Kariakoo mtaizidi kwa ushoga.
 
Twende twende. Kariakoo ni soko kubwa Africa. Pale ndio makao makuu ya timu za Simba na Yanga.
Hizo timu ndizo zinafanya moja derby kubwa barani Africa zinapatikana kariakoo.

Acha kuifananisha kariakoo na mambo ya kipuuzi ya mombasa. Sana sana Kariakoo mtaizidi kwa ushoga.
twaenda wapi??? haha! umekuja kuokoa jahazi?

kek!
 
twaenda wapi??? haha! umekuja kuokoa jahazi?

kek!
Sio kuokoa jahazi. Bali unataka kulazimisha mashudu kufanana na kariakoo. Hivi unaijua kariakoo wewe.
Kariakoo ni soko kubwa barani africa. Nchi za
Malawi, Mozambique, Zambia, Congo, Burundi, Uganda, Rwanda, S. Sudan, Kenya ndio dubai yao hapo kariakoo.

Hapo ni one stop center ya bidhaa zote toka
China, India, korea, Japan, Thailand nk.
Acha kufananisha kariakoo na mambo ya kijinga.
 
kwa data za bandia sawa kama bbc walivosema asilimia 90 ya wakenya huamini na kuskia habari bandia
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
hawakukosea


Asilimia 90 wa wakenya wamesikia na kuona habari bandia
Karibu asilimia 90 ya wakenya wameona au kusikia habari za uongo kuhusu uchaguzi mkuu unaokuja, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa kote nchini humo.
Utafiti huo uliowahusisha wakenya 2,000 kupitia ujumbe ya SMS mwezi Mei, pia uligundua kuwa asilimia 87 ya wale walipata habari hizo walizichukulia kuwa potovu au bandia.
Zikiwa zimesalia chini ya siku 20 kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu, kumekuwa na habari nyingi potovu kutoka mitandao iliyobuniwa kwa lengo la kupotosha tu.

Utafiti huo pia uligundua kuwa vyombo vya habari vya kitamaduni kama radio viliaminika sana kwa habari.
Facebook na WhatsApp imeorodheshwa kama mitandao ya kijamii iliyo maarufu zaidi ambapo watu hupata habari.

Asilimia 90 wa wakenya wamesikia na kuona habari bandia - BBC Swahili
 
hawakukosea


Asilimia 90 wa wakenya wamesikia na kuona habari bandia
Karibu asilimia 90 ya wakenya wameona au kusikia habari za uongo kuhusu uchaguzi mkuu unaokuja, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa kote nchini humo.
Utafiti huo uliowahusisha wakenya 2,000 kupitia ujumbe ya SMS mwezi Mei, pia uligundua kuwa asilimia 87 ya wale walipata habari hizo walizichukulia kuwa potovu au bandia.
Zikiwa zimesalia chini ya siku 20 kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu, kumekuwa na habari nyingi potovu kutoka mitandao iliyobuniwa kwa lengo la kupotosha tu.

Utafiti huo pia uligundua kuwa vyombo vya habari vya kitamaduni kama radio viliaminika sana kwa habari.
Facebook na WhatsApp imeorodheshwa kama mitandao ya kijamii iliyo maarufu zaidi ambapo watu hupata habari.

Asilimia 90 wa wakenya wamesikia na kuona habari bandia - BBC Swahili
jibu swali mombasa ni 1.2 million unabisha😀😀😀😀😀😀😀
wazee wa data bandia
 
Mombasa.
Size: 113sqmi
Population: 1.2Million
Gdp: 7Billion
$Millionares: 900

lete za kirikuu sasa
umekubali 1.2m asante sana...habari ya millionares peleka nairaland wabongo sio wajinga
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
wazee wa data bandia
113 mi sq ni ndogo kwa kariakoo pekeake
 
Wewe njoo kichwa kichwa tu. Nitakupa za uso ujifiche kwenye mashimo kama panya kaona paka.
nawe ukitaka kujua kwa nini mimi naitwa 'wale wabaya' we endelea tu. kuja na kamjesh yako yote
 
umekubali 1.2m asante sana...habari ya millionares peleka nairaland wabongo sio wajinga
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
wazee wa data bandia
113 mi sq ni ndogo kwa kariakoo pekeake
kwa ivyo tumekubaliana kuwa kirikuu ni ndogo sana kwa Mombasa.... too small yaani... au? juu naona umeshindwa kuleta statistics za kirikuu

Moving on... Mombasa, The Port City is more or less than dar is slum.
 
nairobi si mahala salama.kila mtu ajilinde mwenyewe.
f5466e942ea3e89ecf8d9e863ffb2191.jpg
bdace9928e294a80c5a79510e35b4fc8.jpg
c90f75932b9f63c7571f990b419824b1.jpg
5d420023a4217561dc1e36b03525d772.jpg
a95258ee4c1f5e61dd2867338ade5016.jpg
a94537d1a81af8cd98a4e23495a19e1f.jpg
 
kwa ivyo tumekubaliana kuwa kirikuu ni ndogo sana kwa Mombasa.... too small yaani... au? juu naona umeshindwa kuleta statistics za kirikuu

Moving on... Mombasa, The Port City is more or less than dar is slum.
kariakoo inakuumiza sana kichwa 😀😀😀😀😀😀😀
pole sana ndugu hio ndio kariakoo the biggest and busiest market in east and central africa
 
Back
Top Bottom