Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna shida ya rangi Kenya majengo mawili apa hayajapata rangi ,its time muanze kuagiza kutoka Tanzania kama tunavyowaletea gas sasa MNA enjoy zamani mlikuwa Kenya mnatumia kerosene

Kenya bana yani tunawaletea chakula mapaka na gas ya kupikia icho chakula mmekaa tu , with the unemployment rate ambayo ina lead dunia ,kwa nn msijikite kwenye kilimo

spensa_e
Wewe mshamba wa rangi ushai jiuliza kama ni macho yako ndio haiwezi kuona rangi
 
Total kenya gas and k gas command more than half the Kenyan market with the rest taken up by private dealers
e07be13a662beaccb13b56a30c619793.jpg

8cb298861582e86d3bf00d4c603674df.jpg




Sent using Jamii Forums mobile app
 
So The Pinnacle (Hass) towers is to the left shown by the arrow, what is being developed in the circled part.. Or could it be that Hass tower 2 is extending to that place?
35642532601_bfb523f1a4_b.jpg
 
this ichoboy sometimes is good to ignore him.he has loose marbles in his head.. .. just ignore him and post your stuff.he will fade away
Ndio anaekutesa kichwa chako usingizi hupati
😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Total kenya gas and k gas command more than half the Kenyan market with the rest taken up by private dealers
e07be13a662beaccb13b56a30c619793.jpg

8cb298861582e86d3bf00d4c603674df.jpg




Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania iki stop kuwaletea gas mtarudia kuni na kerosene , huo ndo ukweli mpaka serekali yako imekubali yenyewe tuwaletee maana hali NILIKUWA tete uko,

Sasa kijana unemployment mna lead dunia nzima , slum mna lead dunia nzima chakula Tanzania iwalishe gas ya kupigia icho chakula Tanzania inawaletea
Jiapangeni wanyanganyeni ma bwanyenye ardhi muanze kulima LA sivyo uko mbeleni mtakuwa koloni la Tanzania

spensa_e
 
Tanzania iki stop kuwaletea gas mtarudia kuni na kerosene , huo ndo ukweli mpaka serekali yako imekubali yenyewe tuwaletee maana hali NILIKUWA tete uko,

Sasa kijana unemployment mna lead dunia nzima , slum mna lead dunia nzima chakula Tanzania iwalishe gas ya kupigia icho chakula Tanzania inawaletea
Jiapangeni wanyanganyeni ma bwanyenye ardhi muanze kulima LA sivyo uko mbeleni mtakuwa koloni la Tanzania



you Tanzanians are either insane or stupid. .....there is no favour you are doing Kenya. Muuze gas ama msiuze nyinyi ndio mtateseka....you only bring 40000 tonnes of gas to Kenya against 4 million tonnes plus for consumption.
And Tanzania has the third highest slum population in Africa after DRC and Sierra Leone. ... .....
spensa_e
 
it's now official, bakhresa maize flour to be sold in kenya.

according to some Kenyans,bakhresa is the grandson of sultan said bin sultan of muscat.
 
wajinga na 40000 tonnes yao ya gas wanadhani wanafanyia Kenya favour. ....I am sure that gas is only enough for Namanga border town. ....sell that gas to Tanzanians from mwanza or Arusha who live in abject poverty. ..nkt
 
wajinga na 40000 tonnes yao ya gas wanadhani wanafanyia Kenya favour. ....I am sure that gas is only enough for Namanga border town. ....sell that gas to Tanzanians from mwanza or Arusha who live in abject poverty. ..nkt
Wacha maneno mengi tunawauzia gas na serekali yenu ndio imekuja Ku omba , sasa jiulize kama nyie mnayo ya kutosha kwanini tuwauzie?? Na bakhresa from Tanzania anawatea unga
Ndio maana nikawashauri twaeni mashamba ya ma bwanyenye ambayo yamezungusha uzio tu hayafanyi chochote muanze kulima LA sivyo mtakuwa mnaipigia magoti Tanzania iwalishe na tunesema tutakuwa tunawaletea ugali na uji safari zijazo sio unga tena

spensa_e
 
Back
Top Bottom