Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shindaneni na hao wanyonge lakini si sisi
Tulia sindano ikuingie wewe
27478304665_cff46c02c6_b.jpg
 
Nyinyi LDC twaulizana nini nyinyi? Ni hujuma kufananisha Nairobi na Dar is slum
😀😀😀😀😀😀😀 njaa mumeshindwa kupambana nayo tukisema uchumi wenu uko kwenye karatasi unakua mkali
vumilieni tu hii ni 2017
 
😀😀😀😀😀😀😀 njaa mumeshindwa kupambana nayo tukisema uchumi wenu uko kwenye karatasi unakua mkali
vumilieni tu hii ni 2017
Wapi kuna njaa? Hio ndio sababu ya kutotoka nje ya masenze huelewi chochote ni kupayuka tu kama mama wa sokoni kariakoo
 
Back
Top Bottom