Waandishi uchwara na mashabiki wao..JK alikuwa anatumiwa mara nyingi tuu kwenye shughuli za kimataifa na Mwendazake..
Mara kadhaa wamekutana Ikulu nk lakini JK hakuwahi acha kurusha vijembe kwa Mwendazake akiona anavuka Mipaka hadi Mwendazake akaanza kusema mara ooh Sijui wanawashwa washwa mara sijui mniachw nk..
Ni hivi JK ni Mwanausala muandamizi na siasa kaanza.toka enzi ya Mwalimu huwezi kumkwepa kwenye masuala ya utawala uwe unampenda au humpendi..
Good enough kwa sasa ndio Kiongozi mstaafu pekee aliyeko kutoa muongozo na ushauri pale inapobidi na Rais Samia lazima ata muapproach kuomba ushauri kwake,Mwinyi ni Mzee anapoteza kumbukumbu..
Hata usipomuomba Ushauri anakuacha kwani lazima? Kwanza ana ahughuli nyingi za kufanya Duniani Sio Kama wale wengine useless ukitoka madarakani habari Yako inakuwa imekomea hapo..