Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya umeshinda baba maana msg niliyotaka kukupa ni kuwa authentic moja ya post za kwanza dhidi ya anti-hegemony ya Kenya humu ndani zilikuwa zangu though simaanishi hii thread!

At that time jamaa walikuwa wakiweka ujinga wa wao ni best kwa kila kitu!

View attachment 1945060
Ni kwamba kila mtu ana style yake ya kupambania nchi yake hatuwezi kufanana, style yako wewe mimi siiwezi na wewe pia style yangu huiwezi, lkn mwisho wa siku message inakuwa sent cz lengo la huu uzi ni kila mtu kuhakikisha taifa lake linapata heshima inayostahili kwa njia yoyote ile.

Kila nchi ina madhaifu yake lkn mzalendo wa kweli anaangalia yale mazuri tu kuitangaza nchi yake japo maovu yanapotokea hatuyafumbii macho, mimi nikiifananisha Tz na Eastern Europe shida iko wapi? Kwani ndio kusema Tz itakuwa Eastern Europe? Ni kwamba nafananisha miradi ambayo wenzetu wazungu walishaifanya zamani so na cc tuna try our best kukaribia walipo, wewe unasema eti nisifananishe Tz na Eastern Europe nitajie nchi ya Eastern Europe ambayo cc EA tumeizidi.

Au ulitaka niifananishe Tz na US au China je China au US hawana maeneo mabovu? Wewe baki na style yako lkn usione tuliobaki humu wote ni wapumbavu na kwamba hatuna haki ya kutoa mawazo yetu na kufurahia hatua inayopiga nchi yetu kwa style tunazojua sisi cz Jamii Forums niliijua mwenyewe, nikajiunga mwenyewe na bandle nanunua mwenyewe la kuperuzi humu hanisaidii mtu.
 
Ni kwamba kila mtu ana style yake ya kupambania nchi yake hatuwezi kufanana, style yako wewe mimi siiwezi na wewe pia style yangu huiwezi, lkn mwisho wa siku message inakuwa sent cz lengo la huu uzi ni kila mtu kuhakikisha taifa lake linapata heshima inayostahili kwa njia yoyote ile.

Kila nchi ina madhaifu yake lkn mzalendo wa kweli anaangalia yale mazuri tu kuitangaza nchi yake japo maovu yskitokea hatuyafumbii macho, mimi nikiifananisha Tz na Eastern Europe shida iko wapi? Kwani ndio kusema Tz itakuwa Eastern Europe? Ni kwamba nafananisha miradi ambayo wenzetu wazungu walishaifanya zamani so na cc tuna try our best kukaribia walipo, wewe unasema eti nisifananishe Tz na Eastern Europe nitajie nchi ya Eastern Europe ambayo cc EA tumeizidi.

Au ulitaka niifananishe Tz na US au China je China au US hawana maeneo mabovu? Wewe baki na style yako lkn usione tuliobaki humu wote ni wapumbavu na kwamba hatuna haki ya kutoa mawazo yetu na kufurahia hatua inayopiga nchi yetu kwa style tunazojua sisi cz Jamii Forums niliijua mwenyewe, nikajiunga mwenyewe na bandle nanunua mwenyewe la kuperuzi humu hanisaidii mtu.
Eastern Europe ni wewe mwenyewe mzee wa standards za Romania!
 
Kwahiyo sio wakenya wale sababu mababu zao walitokea nchi zingine? Pumbu wewe! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] And yeah, we're proud to be black Africans, melanin popping dadeq, mambo ya kujichubua ka mpendavyo, tuliwaachia maseng... [emoji23] [emoji23] [emoji23] (kando na weupe natural)
Sasa inabidi mjivunie ukenya wenu cz ukitaja mkenya kuna picha flani inakuja hata wewe mwenyewe unaijua, sasa mnaweka waethiopia basi muweke Wakenya wenye asili ya uzungu mana wale mnaoweka humu bila caption mtu anajua ni waethiopia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Eastern Europe ni wewe mwenyewe mzee wa standards za Romania!
Nitajie nchi yoyote ya EA inayoikaribia Romania.
Screenshot_20210919-183827.jpg
Screenshot_20210919-184350.jpg
Screenshot_20210919-184148.jpg
Screenshot_20210919-184114.jpg
Screenshot_20210919-183857.jpg
 
Tofauti Na Kenya tunaojivunia kuwa weusi, wabongo kila mara hushobokea wazungu. Ndio maana hata video zenu za muziki mmejaza wazungu Na mkiweka waafrika mnachagua wenye Ngozi nyeupe nyeupe.
Labda useme tunaweka mademu wa kizungu ili wajue tunawadharau na kuwagongea
 
Sasa inabidi mjivunie ukenya wenu cz ukitaja mkenya kuna picha flani inakuja hata wewe mwenyewe unaijua, sasa mnaweka waethiopia basi muweke Wakenya wenye asili ya uzungu mana wale mnaoweka humu bila caption mtu anajua ni waethiopia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wa Ethiopia sio?? 😂 😂 😂 😂
Screenshot_20210919_194728.jpg

Screenshot_20210919_194554.jpg

Screenshot_20210919_194536.jpg

Screenshot_20210919_194522.jpg

Screenshot_20210919_194509.jpg

Screenshot_20210919_194455.jpg

Screenshot_20210919_194424.jpg

Screenshot_20210919_194359.jpg

Screenshot_20210919_194345.jpg

Screenshot_20210919_194330.jpg

Screenshot_20210919_194330.jpg

Screenshot_20210919_194313.jpg

Screenshot_20210919_194257.jpg

Screenshot_20210919_194242.jpg

Screenshot_20210919_194227.jpg

Screenshot_20210919_194207.jpg
 
Back
Top Bottom