Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya Mzee wa eastern Europe! sio swala la share ila swala la one's pride on own country! Nilipoanza tifu na hawa jamaa wa Kunyaland siku-envision watazuka watu wa kujiita eastern Europe badala ya Tanzania! Feel proud of what u have!
Tifu la Tz na Kenya ulilianzisha wewe na nani? Alafu unawezaje kusema watazuka watu, wewe kama nani? Wewe ndiye ulianza kupambania heshima ya hii nchi? Who are you by the way, wewe nani mpk ujione unastahili kupambania hii nchi, wewe nani katika nchi au wewe ndio mwenye mitandao nchi hii na kwamba ulianzisha wewe battle ya Kenya na Tz? Au unadhani hii battle ilianzia Jamii Forums? Wacha kutafuta umwamba kwenye mitandao ya kijamii, wewe simamia unachokiamini lkn usipende kuwakwaza wenzio kwa kujiona wewe ndio unajua kila kitu, wacha hii tabia ya kipumbavu wewe co Mungu ujue kila kitu, who are you?
 
Haya Mzee wa eastern Europe! sio swala la share ila swala la one's pride on own country! Nilipoanza tifu na hawa jamaa wa Kunyaland siku-envision watazuka watu wa kujiita eastern Europe badala ya Tanzania! Feel proud of what u have!
Wewe akili zako ndogo sana umeshindwa kuwa na logic ya kuelewa kuwa huu uzi tunashindana na watumwa wa wazungu na watu ambao kwao mzungu ni mungu yaani wakenya hivyo ukisema dar the Newyork of East africa unakuwa umepiga jiwe Nyani ya kenya
 
Wewe akili zako ndogo sana umeshindwa kuwa na logic ya kuelewa kuwa huu uzi tunashindana na watumwa wa wazungu na watu ambao kwao mzungu ni mungu yaani wakenya hivyo ukisema dar the Newyork of East africa unakuwa umepiga jiwe Nyani ya kenya
Tofauti Na Kenya tunaojivunia kuwa weusi, wabongo kila mara hushobokea wazungu. Ndio maana hata video zenu za muziki mmejaza wazungu Na mkiweka waafrika mnachagua wenye Ngozi nyeupe nyeupe.
 
Tofauti Na Kenya tunaojivunia kuwa weusi, wabongo kila mara hushobokea wazungu. Ndio maana hata video zenu za muziki mmejaza wazungu Na mkiweka waafrika mnachagua wenye Ngozi nyeupe nyeupe.
Sio kuchagua wenye ngozi nyeupe nyeupe, ipo mikoa wenye Ngozi unazoita nyeupe nyeupe ni wengi zaidi

Hapa kama una mawazo ya aina hiyo utasema wamejichagua!

joycekiango15_1628144112501.jpg
joycekiango15_1628143982608.jpg
ikirwa.school_1628143794608.jpg
ikirwa.school_1628143676215.jpg
 
Tofauti Na Kenya tunaojivunia kuwa weusi, wabongo kila mara hushobokea wazungu. Ndio maana hata video zenu za muziki mmejaza wazungu Na mkiweka waafrika mnachagua wenye Ngozi nyeupe nyeupe.
Kumbe mnajijua mlivyo, na mbn tukianza kuweka wanawake wazuri huwa mnaweka wale weupe weupe wenye asili ya Ethiopia.
 
Tofauti Na Kenya tunaojivunia kuwa weusi, wabongo kila mara hushobokea wazungu. Ndio maana hata video zenu za muziki mmejaza wazungu Na mkiweka waafrika mnachagua wenye Ngozi nyeupe nyeupe.
Ukija home utanchanganyikiwa na madem wetu basi😂😂😂😂😂😂😂
 
Kumbe mnajijua mlivyo, na mbn tukianza kuweka wanawake wazuri huwa mnaweka wale weupe weupe wenye asili ya Ethiopia.
Kwahiyo sio wakenya wale sababu mababu zao walitokea nchi zingine? Pumbu wewe! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 And yeah, we're proud to be black Africans, melanin popping dadeq, mambo ya kujichubua ka mpendavyo, tuliwaachia maseng... 😂 😂 😂 (kando na weupe natural)
 
Tifu la Tz na Kenya ulilianzisha wewe na nani? Alafu unawezaje kusema watazuka watu, wewe kama nani? Wewe ndiye ulianza kupambania heshima ya hii nchi? Who are you by the way, wewe nani mpk ujione unastahili kupambania hii nchi, wewe nani katika nchi au wewe ndio mwenye mitandao nchi hii na kwamba ulianzisha wewe battle ya Kenya na Tz? Au unadhani hii battle ilianzia Jamii Forums? Wacha kutafuta umwamba kwenye mitandao ya kijamii, wewe simamia unachokiamini lkn usipende kuwakwaza wenzio kwa kujiona wewe ndio unajua kila kitu, wacha hii tabia ya kipumbavu wewe co Mungu ujue kila kitu, who are you?
Haya umeshinda baba maana msg niliyotaka kukupa ni kuwa authentic moja ya post za kwanza dhidi ya anti-hegemony ya Kenya humu ndani zilikuwa zangu though simaanishi hii thread!

At that time jamaa walikuwa wakiweka ujinga wa wa wao ni best kwa kila kitu!

Screenshot 2021-09-19 171744.jpg




Screenshot 2021-09-19 172014.jpg
 
Umeona! hapa juzi Kati tulikuwa na the same mada🤣🤣🤣🤣🤣madem wa bongo weuope asilimia kubwa natural weupe.
Na hamjakatazwa kuwa weupe au rangi yeyote ile... Lakini msijifananishe na wazungu hata siku moja! 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom