Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna mjinga mmoja nilibishana nae sana kuwa Elimu ya Kenya inamapungufu ndio waana hawana Mainjinia wengi kama Tanzania, na hao wachache hawana ubora kutokana na mfumo wao Elimu, pia wana maeneo machache ya kujifunzia kwa vitendo.

Hili Jengo lililobomoka ndio kwanza linajengwa, na ukiangalia Mazingira hakuna hata taratibu za kiusalama wala Kinjinia zimefatwa, angalia, mbao, madirisha na hata wavu kwa ajili ya usalama ulivowekwa.

Tanzania huwezi kukuta upuuzi na utani kama huu...
Wakenya wenye elimu kidogo wote wamesoma arts hakuna science ndio maana wezi, Kenya elimu ni kujua kingereza tu
 
Kuna mjinga mmoja nilibishana nae sana kuwa Elimu ya Kenya inamapungufu ndio waana hawana Mainjinia wengi kama Tanzania, na hao wachache hawana ubora kutokana na mfumo wao Elimu, pia wana maeneo machache ya kujifunzia kwa vitendo.

Hili Jengo lililobomoka ndio kwanza linajengwa, na ukiangalia Mazingira hakuna hata taratibu za kiusalama wala Kinjinia zimefatwa, angalia, mbao, madirisha na hata wavu kwa ajili ya usalama ulivowekwa.

Tanzania huwezi kukuta upuuzi na utani kama huu...
Kunyaland ukiongea kiingereza tu ushakua msomi
 




E-WbwQzX0AAQGox
 
Acha upumbavu wewe,Kwa Nchi za kiafrika Muelekeo wa Rais ndio ndio ushawishi wa wawekezaji,sasa kenge kama wewe unaweza tangaza utalii kwa ushawishi gani ulionao?

Saizi Rais Samia yuko top 5 ya most influential African Women sasa watu watapay attention kwake au kwa Zuchu au wewe?

Kukaa Chamwino ndio kunaleta pesa na maendeleo? Yule Aliyekuwa anazunguka na maconyoy na misururu ya magari mara Chato mara Dom mara Dar alileta nini cha maana zaidi ya kuua Uchumi?
Naona wapumbavu wawili mnagombana
 
Back
Top Bottom