Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe ndio mpumbavu ungekuwa na busara ungeficha ujinga wako. Brt buses have doors on both sides of the bus. Njoo tz usafishe macho kidogo.
You are helping your fellow countryman to portray stupidity of the highest order, kwa hile bus yule mjinga alipost did you see the doors on both sides.?
 
Toa uchafu wako apa ...hata tu kuweka side work mbili ilishindikana. peleka mafii uko
I know you're pained for seeing Mombasa having better marked and cleaned roads kuliko Dar is slum, alafu unaongelea sidewalks in Mombasa wakati Tanzania hamna barabara ya sidewalks hata moja😂😂🤣🤣
 
Hata wakiweka vi figure vyao vya forbes cjui vya matakataka gn lkn hakuna kama Bakhressa, weee wacha kabisa na tuiue hii mada cz ni kukosa heshima kabisa mkuu.
Binafsi hua simuelewi huyu muhindi, hanaga impact yoyote katika maisha ya watu zaidi ya low quality products na unyonyaji anaoufanya kwa wafanyakazi wake. Halafu hua sio mbunifu kabsa anapenda kucopy idea za watu sitashangaaa kumuona anaanzisha tv yake ilitu amkomoe Bakhresa.
 
Binafsi hua simuelewi huyu muhindi, hanaga impact yoyote katika maisha ya watu zaidi ya low quality products na unyonyaji anaoufanya kwa wafanyakazi wake. Halafu hua sio mbunifu kabsa anapenda kucopy idea za watu sitashangaaa kumuona anaanzisha tv yake ilitu amkomoe Bakhresa.
Wacheni upumbavu kila mtu ana haki yake ya kuwekeza nyie fanyeni support huko mlipo! kwahiyo Bakhresa hakumuiga Mengi alipoanzisha biashara ya media?
 
Baadhi ya maneno ya mapesa kuhusu BRT.

“WE WILL GO THE RAILWAY”

Siku kadhaa baada ya madude ya spain kufika na washajua hayatoshelezi tuongeze BRT?

Noma sana.
Jamaa Tz huwa inamuumiza sana, huyu alikuwa haijui vzr Tz, kupitia JF ameijua ndiyo unaona tabu anazopata, yn hakuna mkunya anayeumizwa na maendeleo ya Tanzania kama huyu, amebaki kujivunia GDP ushuzi tu, tuki rebase uchumi wetu ataondoka humu kwa wivu we ngoja uone
 
Roho mby tu na wivu wa kike, haya now you need it iko wapi ss
Ndio hii hapa inajengwa.

IMG_20210904_214556.jpg


IMG_20210904_220627.jpg


IMG_20210904_214602.jpg


IMG_20210904_220637.jpg
 
Jamaa Tz huwa inamuumiza sana, huyu alikuwa haijui vzr Tz, kupitia JF ameijua ndiyo unaona tabu anazopata, yn hakuna mkunya anayeumizwa na maendeleo ya Tanzania kama huyu, amebaki kujivunia GDP ushuzi tu, tuki rebase uchumi wetu ataondoka humu kwa wivu we ngoja uone
The best 007 waiting fo GDP ya Tanzania kupita ya Kenya 🤣🤣😂👇👇👇

FB_IMG_16302538951031096.jpg
 
Hii sehemu ya palma ina utajiri wa gesi na madini,kama,ukiingia hapo ni kama upo Tanzania vile maana wakazi wa hapo 75% ya huduma za kijamii wanategemea TZ,sikiliza kiswahili chao hata wakunya awaongei kiswahili kama iko,hao askari wa rwanda awaamini kama hapo ni msumbiji 😀
 

Attachments

  • 2913699_twitter_20210905_062645.mp4
    8.7 MB
Geza Ulole huwa anawalinganisha Bakhressa na Mo kiukweli hakuna uhalisia kabisa, Bakhressa kamuacha Mo mbali sana, kinachotokea ni kama ushuzi wa GDP kati ya Tz na Kenya, lkn on ground Bakhressa yupo sayari yake, Mo binafsi anamuogopa Bakhressa kama Kenya inavyoiogopa Tz.
Mo anamuogopa hadi gharib tajiri alieanza kuchipuka juzi tu!
 
Jamaa Tz huwa inamuumiza sana, huyu alikuwa haijui vzr Tz, kupitia JF ameijua ndiyo unaona tabu anazopata, yn hakuna mkunya anayeumizwa na maendeleo ya Tanzania kama huyu, amebaki kujivunia GDP ushuzi tu, tuki rebase uchumi wetu ataondoka humu kwa wivu we ngoja uone
Kusema tu ukweli jf imefanya nijue Tanzania vizuri.

1.Sikujua kuwa only 37% of Tanzanians are connected to electricity until I joined JF.

2.Through jf nimejua kuwa Tanzania only have 9,000km of paved roads.

3.Through JF nimejua Tanzania is a country with only one stadium 😂😂

4.Through jf nimejua kuwa Dar is slum haina barabara za lami in the CBD.

5.Through JF nimegundua 90% of Tanzanian roads are unmarked.

6.Through JF nimegundua Mombasa port alone is handling more cargo than all Tanzanian ports combined.

7.Through jf nimegundua kuwa JKIA is handling twice the number of passengers being handled by Tanzanian airports.

8.Through JF nimegundua in infrastructure development Tanzania is behind Uganda.

9.Through JF nimejua kuwa Tanzania is a LDC 😂

10.Through JF nimegundua tax revenue ya Kenya can finance Tanzanian full year budget na change ibaki😂😂

11.Through JF nimejua kuwa Tanzania only have five military helicopters.

12.Through JF nimegundua Air Tanzania total debts are more than their assets.

13.Through JF nimegundua is the leader of witchcraft and sorcery in the world.
 
"Kenya is not portrayed well in the media. It is definitely the most developed country in East Africa and most of subsaharan Africa"
"I love Tanzania and Uganda but the infrastructure there cannot match Kenya's. Nairobi and Mombasa are more developed and modern than Cities in the other two countries. Paved roads everywhere".

Sio maneno yangu bali ya huyu mzungu. Si huwa mnasema mzungu hawezi danganya mkipost google images za kibera? 🤣 🤣


Huu uzi yafaa ufungwe..sabbatical amekua judge ..ametembea nchi zote na akajionea..Kenya wins ..backed by data from World bank na kadhalika..
 
Back
Top Bottom