Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

usimjibu huyu mtu ni mgonjwa jamani anachafua hewa kwa sisi tunaowasoma huku nje tunaelewa,pengine utawala wa JPM ulimfanyia vibaya kwahiyo anataka kila mtu awe na chuki kama yake kwa MAGUFULI so mpotezeeni ajijibu mwenyewe.

Kuna thread kwenye jukwaa la siasa unakuta anachanganya mambo hata Huwezi elewa hua anatakaje.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Jamaa huwa anachekesha sn, ukiona anavyomsifia SSH utadhani labda hyo miradi inayoendelea yote ilianza awamu hii, utakuta barabara aliyoiponda mwaka jana leo anaisifia, lkn ukimkuta majukwaa mengine ni tofauti kabisa, mara leo anasifia upinzani kesho hautaki, unabaki kumtazama unasema hiiiiii!!!!!!
 
Screenshot_20210828-121918.png
Screenshot_20210828-121526.png


 
Brt inajengwa
Cable bridge sijui itajengwa wapi
What is electrical sgr???
BRT iko wapi, cable stayed bridge hyo ni ndoto ya Kenya na haitowahi tokea, electrical SGR ni electrical Standard Gauge Railway ambayo hamtawahi kuwa nayo mpk pale dunia itaumbwa tena
 
JNHPP UPDATE: The Largest Segment of RCC Casting Completed on 16 August 2021
02hmph1.jpg

▲ This segment is 17.5m in height and is located in the middle section



pnbbSXa.jpg

▲ This cast involved 158,000 cu.m of RCC and 3,600,000 cu.m of normal concrete. Casting lasted for 20.5 days



OYZ6hxq.jpg

▲ Area for this cast is 11,600 sq.m



oFaxzaB.jpg




PyxCFpw.jpg




6TxYXwm.jpg


Source
 
BRT iko wapi, cable stayed bridge hyo ni ndoto ya Kenya na haitowahi tokea, electrical SGR ni electrical Standard Gauge Railway ambayo hamtawahi kuwa nayo mpk pale dunia itaumbwa tena
Twende pole pole, what are the parametres of a standard gauge railway??
 
foreign illegal migrants from DR congo, uganda, rwanda, burundi, south sudan, ethiopia are flocking this city in their numbers.. am also suprised to see the same case apply to kisumu's kondele area. hawa watu wanatafuta nn kenya.. uzuri tu sisi sio xenophobic kama hawa wabongo lala..
eldy9.jpeg-1.jpg
eldycity.jpg
eldoret4.jpg
eldoret9.jpg
eldoret1.jpeg-1.jpg
anyway, its normal for a country that has a gdp of over $100B to experience such. si ajabu
 
Back
Top Bottom