Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tutamkumbuka sana Magufuli miaka mingi ijayo, upendo wake kwa taifa hili haukuwa na kipimo, watanzania tumepoteza moja kati ya viongozi bora kabisa kuwahi kutokea katika nchi hii.

image_8c48954e-1939-4720-a0b5-59fd5498f95f20210823_221732.jpg
 
View attachment 1905516

Kazi ikiwa inaendelea kwa kasi sana!

wanafunga comments maana wanajua wanachofanya sio sahihi...

nimeona sehem kikwete yupo comoros sijui kumpeleka ujumbe wa mama huko comoros! kwann kikwete na sio VP au PM au hata waziri wa secta husika wa huo ujumbe? yan kikwete alikuwa yupo zambia katumwa huko comoros afu pia atarudi zambia tena!

cc:

 
Just look at those boarding areas and then you will know how short their trains will be. I once told these witches that their trains will do a maximum of 300 passengers per one way trip compared to ya Kenya which is doing 1,700 per one way trip wakapinga
Our passenger trains are EMU units 8 cars each that can also be joined to another unit yours is passenger train driven by a locomotive same as cargo trains.
 
wanafunga comments maana wanajua wanachofanya sio sahihi...

nimeona sehem kikwete yupo comoros sijui kumpeleka ujumbe wa mama huko comoros! kwann kikwete na sio VP au PM au hata waziri wa secta husika wa huo ujumbe? yan kikwete alikuwa yupo zambia katumwa huko comoros afu pia atarudi zambia tena!

cc:

Huyu mama ashukuru mtangulizi wake alifanya mambo ya maana sana kukosa hivyo angeonekana kituko kuliko mfano, hajui afanye nini maskini.
 
Back
Top Bottom