Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

keep crying more.. hizi sio chinese class one!
giphy.gif

giphy.gif
Yeah I know, and that's why kumaliza line ya 200km imewashinda tangu 2017😂😂😂
 
Yani nchi haina BRT

Nchi haina Electrical SGR

Nchi haina cable stayed bridges

Nchi haina modern Airports

Nchi haina modern stadiums

Nchi haina big ships

Nchi haina modern interchanges like 3level


Na bado inataka kushindana na nchi zenye hizo infrastructures, kweli Wakenya ni wehu sana, yani SA, Marocco, Egypt na Tanzania, hizo infrastructures zipo ndiyo jamaa wanafosi kujilinganisha nazo
 
Na ni medali za kukimbia tu sio medali nyingine, na baada ya uchunguzi ikagundulika kwamba moja ya sababu za medali hizo ni ubovu wa transport services, sasa ndugu zangu watanzania tutasubiri sana kwenye hizo medals
Ila yule mwafrika kusini aliwauwa wakenya. Nimeamini ule msemo ukitaka kujua short cut kula nauli . Kumbe wakenya tatizo usafiri ndio maana wakina kipchonge wanakimbia kama farasi
 
Yani nchi haina BRT

Nchi haina Electrical SGR

Nchi haina cable stayed bridges

Nchi haina modern Airports

Nchi haina modern stadiums

Nchi haina big ships

Nchi haina modern interchanges like 3level


Na bado inataka kushindana na nchi zenye hizo infrastructures, kweli Wakenya ni wehu sana, yani SA, Marocco, Egypt na Tanzania, hizo infrastructures zipo ndiyo jamaa wanafosi kujilinganisha nazo
Niongezee modern bus stations and modern markets
 
tajir bwana mapesa billionaire kutoka kenya.. wadanganye wenzio sio sisi.. hamjawahi kubeba abiria 3M kwa mwaka wala 2M hamjawah kufikisha kwa mwaka .. kama hujui maths hainihusu

View attachment 1905254
View attachment 1905255
Please don't blame me for not understanding English 😂😂, the maximum designed capacity haimanishi the number it does in a certain year but the optimum level. Just the same way JNIA terminal 3 has a designed capacity of 6M lakini it's only doing 500,000 per year😂😂😂, that 500,000 haiondowi ukweli kuwa the capacity of JNIA terminal 3 is 6M.
 
Yani nchi haina BRT

Nchi haina Electrical SGR

Nchi haina cable stayed bridges

Nchi haina modern Airports

Nchi haina modern stadiums

Nchi haina big ships

Nchi haina modern interchanges like 3level


Na bado inataka kushindana na nchi zenye hizo infrastructures, kweli Wakenya ni wehu sana, yani SA, Marocco, Egypt na Tanzania, hizo infrastructures zipo ndiyo jamaa wanafosi kujilinganisha nazo
Najua huwa unatamani Sana Tanzania iwe juu ya Kenya 😂😂😂🤣👇👇👇
I'
IMG_20210712_220639.jpg
 
No fence😂😂😂
No landscaping😂😂😂
Tiny stations😂😂😂😂
View attachment 1905286View attachment 1905287
Just look at those boarding areas and then you will know how short their trains will be. I once told these witches that their trains will do a maximum of 300 passengers per one way trip compared to ya Kenya which is doing 1,700 per one way trip wakapinga😂😂😂
 
Back
Top Bottom