Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mji Mkuu Wa Afrika Mashariki Na Kati. Nairobi
IMG_20210819_212810.jpg
 
Inakaa kama ma flyover ya Kenya eehhh, ila tusubiri ziishe
Pale hakuna injinia ni kikundi cha mafisadi na wahuni tu sema naona wameingia kamkataba na mainjinia wa kweli ili kusaidiana
Tena ukizingatia hiyo barabara ni icon ya taifa haikutakiwa pale kwenye flyover wajenge ujinga kama wa kenya maana wanapanga tofali ,ile njia ni ya uwanja wa ndege sijui design ndiyo alikuwa mpuuzi au ni wajenzi wamefanya yao
 
Back
Top Bottom