The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kama masihara vile lkn ngoma inakwenda wakuu.
Kazi na dawa
Kama masihara vile lkn ngoma inakwenda wakuu.
Kazi na dawa
Maza anafeli kweli aisee alafu kila siku misafari isiyokua na tija
Mngekuwa mnajenga 2000 kwa mwaka hamngekuwa bado mnacheza kwa 9000km of paved total roads😂😂😂Wewe tumbili hiyo figure ni kwa Tarura,for Tarura nguvu kubwa ni kufungua barabara mpya na kuzijenga kwa gravel,lami ni kwa mijini tuu . Kuna figure ya Tanroads ambayo wanajenga zaidi ya km 2000 za lami kwa mwaka
kuna shortage kumbe
Japo wapo slow ila Kazi safi aiseeKama masihara vile lkn ngoma inakwenda wakuu.
jamaa wa airport wanasema mama anakomoa kusudi hali ni mbaya mm nipo karibu na airport wateja wameanza kuchukia usafiri wa atcl mtu katoa hela yake anataka kupanda ndege mpya kisha unampandisha buffaro za jeshiAisee kumbe hali ipo serious namna hii?
Zile zile gorofa tatu. 🤣 🤣
unajua zipo ngapi zinajengwa hapo tena uzuri wa majengo siyo urefu tuAnd a fool is celebrating construction of 7 floors buildings. Hizo seven floors buildings zinajengwa hata mandera.
Hii ni 711 Kawe?Nyani wanasema tz dar tumeacha kujenga magorofaView attachment 1899090View attachment 1899092
We don't celebrate insignificant buildings here, hizo 7 floors zako unaezabaki nazo kwako😂😂unajua zipo ngapi zinajengwa hapo tena uzuri wa majengo siyo urefu tu
sababu ni mama kutumia ndege ya abiria .Yeah ila pia izi safari za viongozi kila kukicha nazo zinachangia
hapo patakuwa kama peponi wakenya watakuwa wanakuja kupiga pichaWe don't celebrate insignificant buildings here, hizo 7 floors zako unaezabaki nazo kwako![]()
acha tusikilize ule wimbo wa zuchu "HASARA"wengine tumeshakubali hapa tumepigwa.. wacha tukae pemben tuendelee kuangalia show inavyoenda hadi 2025
![]()


alafu kuna mtu amelike post yako😁😁Nyani wanasema tz dar tumeacha kujenga magorofaView attachment 1899090View attachment 1899092
Siezikuja kupiga picha next to 7 floors buildings 😂😂, hiyo hata heri niende Ngara nipige picha next to a cluster of 8 buildings standing 34 floors high😂😂👇👇hapo patakuwa kama peponi wakenya watakuwa wanakuja kupiga picha
Duh mkuu hizi sio chumvi kweli? Ndege ya jeshi?jamaa wa airport wanasema mama anakomoa kusudi hali ni mbaya mm nipo karibu na airport wateja wameanza kuchukia usafiri wa atcl mtu katoa hela yake anataka kupanda ndege mpya kisha unampandisha buffaro za jeshi