Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe ulisema mimi muongo sasa sibitisha ...tena huyo ni mpinga magufuli mwenzako nilipo kuambia wafanyakazi airport wanalalamika kuhusu mama kutumia ndege ya abiria ya kibiashara kama ndege yake binafsi kunasababisha hasara na matatizo wewe ulisema mimi muongo sasa soma hapa
 
Wewe ulisema mimi muongo sasa sibitisha ...tena huyo ni mpinga magufuli mwenzako nilipo kuambia wafanyakazi airport wanalalamika kuhusu mama kutumia ndege ya abiria ya kibiashara kama ndege yake binafsi kunasababisha hasara na matatizo wewe ulisema mimi muongo sasa soma hapa
Aisee kumbe hali ipo serious namna hii?
 
Wewe ulisema mimi muongo sasa sibitisha ...tena huyo ni mpinga magufuli mwenzako nilipo kuambia wafanyakazi airport wanalalamika kuhusu mama kutumia ndege ya abiria ya kibiashara kama ndege yake binafsi kunasababisha hasara na matatizo wewe ulisema mimi muongo sasa soma hapa

wengine tumeshakubali hapa tumepigwa.. wacha tukae pemben tuendelee kuangalia show inavyoenda hadi 2025
giphy.gif
 
Wewe ulisema mimi muongo sasa sibitisha ...tena huyo ni mpinga magufuli mwenzako nilipo kuambia wafanyakazi airport wanalalamika kuhusu mama kutumia ndege ya abiria ya kibiashara kama ndege yake binafsi kunasababisha hasara na matatizo wewe ulisema mimi muongo sasa soma hapa

Maza anafeli kweli aisee alafu kila siku misafari isiyokua na tija
 
We are at 85% by now, that 37 comes right from your ass_~
There's no way 2.7M customers connected to electricity can translate to 85%, unless hesabu ni balaa kwako😂😂
Kutoka 275b hadi 900 b,,Maza anaupiga mwingi Sana 😁😁👇

View attachment 1899054
So your government is planning to construct only 250km of paved roads in 2021/2022?😂😂😂 Kenya is doing close to 2500km per year. Alafu mnataka kushindana na Kenya.
 
Wewe ulisema mimi muongo sasa sibitisha ...tena huyo ni mpinga magufuli mwenzako nilipo kuambia wafanyakazi airport wanalalamika kuhusu mama kutumia ndege ya abiria ya kibiashara kama ndege yake binafsi kunasababisha hasara na matatizo wewe ulisema mimi muongo sasa soma hapa
Hii siyo tuu wanafanya U-turn kwa yale yaliyofanyika awamu ya tano bali kuna jitihada za kuharibu legacy. Wataliua tuu shirika ili turudi kule kule tulikotoka.
wengine tumeshakubali hapa tumepigwa.. wacha tukae pemben tuendelee kuangalia show inavyoenda hadi 2025
Wengi tuu sasa wanasema tumepigwa, mi mdogo wangu tulikuwa tunagombana hadi kukatiana simu sababu alikuwa hampendi Magu wakati mimi nilikuwa mpaka na sisimka nikimwongelea. Cha ajabu hata yeye sasa hivi ananiambia huyu mama tumepigwa, hamna Rais pale.
 
There's no way 2.7M customers connected to electricity can translate to 85%, unless hesabu ni balaa kwako😂😂

So your government is planning to construct only 250km of paved roads in 2021/2022?😂😂😂 Kenya is doing close to 2500km per year. Alafu mnataka kushindana na Kenya.
Wewe tumbili hiyo figure ni kwa Tarura,for Tarura nguvu kubwa ni kufungua barabara mpya na kuzijenga kwa gravel,lami ni kwa mijini tuu . Kuna figure ya Tanroads ambayo wanajenga zaidi ya km 2000 za lami kwa mwaka
 
Back
Top Bottom