Nina imani in next three years Bakhresa group will be building their yatches here in Tanzania instead of going to Australia!🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Haya mambo ni tanzania tuView attachment 1896766View attachment 1896767View attachment 1896768View attachment 1896769
Hata baada ya kupata uhuru karibu miaka 60 iliyopita.Na kufa njaa kila mwaka wakenya zaidi ya 20k wanakufa njaa, 1 million Malnutrition, 13 million going to bed hungry
tu ndo nime land kisumu sasahivi. acha nta piga photo miradi zote underconstruction kisumu, kavile the ongoing New Kisumu Inland Port, 2021AfroCity Conference Centre, and so on View attachment 1896757
😀 Msikiti, according to watu ambao kinyesi kimereplace ubongo waoMakumbosho ya wajerumani Arusha zaidi ya miaka 100
View attachment 1895397View attachment 1895398View attachment 1895399View attachment 1895400
👍 Hapohapo ulipo pata grant, ntalipa 😀Ninao marafiki wawili waghana hapa dar mmoja kaoa mwanamke wa kihaya wao wenyewe wanasema hivyo baada ya kufika huku africa mashariki , ndiyo maana kuna watz wanasemaga kama unaidharau tz basi tembelea nchi nyingine za africa ndiyo utajua kuwa tz ni kutamu
Vighorofa tu ambavyo havina gharama wanaweka humu utadhani labda ni mambo ya ajabu, but sisi co washamba kama wao.
Porojo as usual,thibitisha
Tuna kila kitu bora kuwazidi, tuna viwanja vizuri kuwazidi, wananchi wa Tanzania wanapesa na wanapenda michezo kuwazidi ila tunatofautiana kimtazamo nyie mambo yenu mnafanya kisiasa sana kuliko uhalisia, cc tupo serious na mambo ya mana kwa ss.ka gani ?. sijai skia tz ime host CAF ama CHAN. tu Tz naskia ime host CECAFA, hio ata burundi, south sudan ama somalia itaweza
Shida ya wanaomng'ong'a Magu nikwamba wana uwezo mdogo wa kufikiria huku wakidhani vitu tulivyofanikisha vingewezekana kwa wengine.Huyo mpumbavu alikuwa nataka reli iwe mali ya mchina kama ya kenya na itemise mafuta tena yenye gharama kubwa maana magufuli katuokoa sana kutoka katika upumbaavu wa mkwere
Mapadlock hii ndo kazi amefanya😂😂😂😂😂 kweli uhuru hapendi sifa manake anamfunika mara ishirini.Shida ya wanaomng'ong'a Magu nikwamba wana uwezo mdogo wa kufikiria huku wakidhani vitu tulivyofanikisha vingewezekana kwa wengine.
Inatakiwa wajue kwamba Magu alianza na vitu vigumu vilivyoshindikana huku hesabu zake zikiwa kuja kufanya vilivyobakia baadae sema muda ukawa finyu kwake.
Mfano;
1. JNHP iliyoshindikana tangu enzi za Nyerere
2. Kuspeed up safari ya kuhamia Dodoma ambayo wenzake walikua wakienda polepole
3. SGR ya umeme ambapo mawazo ya wengi wape ilikua iwe ya mafuta tena imilikiwe na mchina
4. 8 to 12 lanes Kimara - Kibaha Highway ambayo ilitakiwa kua 4 lanes tena imilikiwe na wazungu
5. Kusambaza umeme vijijini kwa kasi kubwa
6. Kuongeza Hospital za rufaa na vituo vidogo vya afya kwa zaidi ya 100% (Wingi wa hospitali alizojenga umezidi zile zilizojengwa na maraisi wanne wote kwa pamoja + wakoloni)
7. Ameboresha technical education kwa kurekebisha majengo ya technical schools na veta kwa kukarabati na kujenga karakana za kujifunzia, swala muhimu sana kwa uchumi wa viwanda
8. List ni ndefu...
Note: Hayo yote kaanza na kumaliza kwa fedha za ndani na ile iliyo mikubwa kama SGR na JNHP kaanza kwa pesa za ndani ili kutengeneza njia ya kukopesheka kirahisi kwa phase zinazofuata maana mwenye nacho anaongezewa
Shida ya wanaomng'ong'a Magu nikwamba wana uwezo mdogo wa kufikiria huku wakidhani vitu tulivyofanikisha vingewezekana kwa wengine.
Inatakiwa wajue kwamba Magu alianza na vitu vigumu vilivyoshindikana huku hesabu zake zikiwa kuja kufanya vilivyobakia baadae sema muda ukawa finyu kwake.
Mfano;
1. JNHP iliyoshindikana tangu enzi za Nyerere
2. Kuspeed up safari ya kuhamia Dodoma ambayo wenzake walikua wakienda polepole
3. SGR ya umeme ambapo mawazo ya wengi wape ilikua iwe ya mafuta tena imilikiwe na mchina
4. 8 to 12 lanes Kimara - Kibaha Highway ambayo ilitakiwa kua 4 lanes tena imilikiwe na wazungu
5. Kusambaza umeme vijijini kwa kasi kubwa
6. Kuongeza Hospital za rufaa na vituo vidogo vya afya kwa zaidi ya 100% (Wingi wa hospitali alizojenga umezidi zile zilizojengwa na maraisi wanne wote kwa pamoja + wakoloni)
7. Ameboresha technical education kwa kurekebisha majengo ya technical schools na veta kwa kukarabati na kujenga karakana za kujifunzia, swala muhimu sana kwa uchumi wa viwanda
8. List ni ndefu...
Note: Hayo yote kaanza na kumaliza kwa fedha za ndani na ile iliyo mikubwa kama SGR na JNHP kaanza kwa pesa za ndani ili kutengeneza njia ya kukopesheka kirahisi kwa phase zinazofuata maana mwenye nacho anaongezewa