The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
Aisee huu mradi yani hapa kwenye hili lichumba wamejaa watu kama wote nikadhani ndio mradi wenyewe, lahaula kumbe ni kachumba tu kwenye mradiwanafurahia tournaments ambazo haziwasaidii kuwaepusha na njaa na umaskini .. wacha sisi tutekeleze miradi ya kimkakati
View attachment 1896718
View attachment 1896719
View attachment 1896720
View attachment 1896721


viko tisa vyumba kama hivi, nawashauri Wakenya wasijaribu kabisa hata kufikiria kufanya mradi kama huu utawagharimu maisha yao.
