Simba bwana acha kujitoa ufahamu .. mzee, tumenunua ndege 15, tumejenga international airports tatu, mbili zinamalizia ujenzi, tunatengeneza electric SGR phase 1,2&3, tunatengeneza BRT phase 2&3, tunajenga mji wa serikali wenye barabara za km 51 na dual carriage way 152km Dodoma pamoja na ukulu kubwa zaidi EA , tumetengeneza Rusumo hydro power plant. 225M, JNHP 2115M, Kinyerezi 1&2.. wind power plant ya Iringa.. tumejenga international bus terminal karibu kila mkoa pamoja na Dodoma & Dar es Salaam (mbezi Luis international bus terminal), tumejenga hospitals za kanda (referral hospitals) tatu, tumejenga na hospital kubwa EA mhimbili (mloganzira) .. tumejenga Madaraja makubwa EA kigongo busisi 3.2km, Tanzanite bridge 1.2km, kigamboni 800m, magufuli bridge 700m wami bridge 540m na mengine madogo kibao, tumejenga flyovers tano three ar under construction, tumepanua barabara na kujenga mpya karibu nchi nzima, tumejenga masoko makubwa karibu kila mkoa, tumejenga pia viwanja vya ndege vidogo vidogo maeneo tofauti tofauti.. hivi vyote ni ndani ya miaka mitano tu, je nyinyi mmefanya nini ndani ya miaka hiyo.? Hata tupigizane kelele humu.?