Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehehe!!nenda google utaziona, wakenya walianza kutembelea bridges kutoka 80s bana[emoji1787][emoji1787]
Naona umepanic
Kenya hamna kitu nitabishana na wewe siku mkifika hii level na kuna madaraja mengine so kubishana na wewe ni kujishusha mfike hii level kwanza
images.jpg
BridgeOfLight.jpg
 
Kenya hamna kitu nitabishana na wewe siku mkifika hii level na kuna madaraja mengine so kubishana na wewe ni kujishusha mfike hii level kwanzaView attachment 1885706View attachment 1885707
Ukweli ni usemwe, kenya matatizo madogo madogo ya madaraja sehemu kubwa tulisawazisha kitambo sna hata wengine wenu hawajazaliwa akina geza wakiwa chato km wawindaji haramu..

Vyuma vipo 40yrs na bado vinafanya kazi bila bugdha yyte, eti anakuja mjinga mmoja hapa anaanza kuturingishia
 
Kunyaland nzima haitakaa ipate bridge kama hiyo milele!
Bwahahaha!!nakwambia sehemu kubwa kuhusu madaraja tulimalizana nayo kitu 40yrs ago, sai ni ku implement sehemu chache zilizobaki..
Kwhyo hatufanani mzee
 
Bwahahaha!!nakwambia sehemu kubwa kuhusu madaraja tulimalizana nayo kitu 40yrs ago, sai ni ku implement sehemu chache zilizobaki..
Kwhyo hatufanani mzee
hebu tuletee hayo madaraja tuyaone!

Hapa ndo uwezo wenu ulipoishia! 👇👇🤣🤣🤣
 
Mliokoo Nairobi karibuni kwa kibanda
Curtsesy of unknown restaurant and unknown street [emoji2] kabla ya kutwanga ma photo[emoji2]
View attachment 1885341View attachment 1885342View attachment 1885343
wahurumie mkali maana ukianzisha reality huwa wanapotea ,,kwani vilaza wakikenya wengi wao tulio nao hapa ni wale chokoraa type huwa hawajawahi toka nnje ya kenya....
ila watz wengi tulio humu inreality tunaijua nnchi yao sababu huwa tunaingia mara kwa mara kea kila baada baada ya mwaka au miaka[emoji1787][emoji1787]
tuendelee kuwaenjoy tu
 
dah sijaelewa mzee.. ok.. pale morogoro rd kuelekea boma.. pale kuna roundabout ambayo magari yanayotoka magomen-boma na mabibo-kko/jangwan yanakutana.. ndo hapo? na hio flyover ina uelekeo upi.. mfano tazara ni kutoka airport kwenda posta
kuna nguzo zipo magomeni mikumi kutoka boma kuingia magomeni
 
hebu tuletee hayo madaraja tuyaone!

Hapa ndo uwezo wenu ulipoishia! [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha kuumia mzee[emoji1787][emoji1787]
Sai huna kitu kabisa umebaki kuhaha, madaraja kitu gani watoto wa 80s hku walikua wanayaona mpka wakazoea.
 
Ukweli ni usemwe, kenya matatizo madogo madogo ya madaraja sehemu kubwa tulisawazisha kitambo sna hata wengine wenu hawajazaliwa akina geza wakiwa chato km wawindaji haramu..

Vyuma vipo 40yrs na bado vinafanya kazi bila bugdha yyte, eti anakuja mjinga mmoja hapa anaanza kuturingishia

Acha kuumia mzee[emoji1787][emoji1787]
Sai huna kitu kabisa umebaki kuhaha, madaraja kitu gani watoto wa 80s hku walikua wanayaona mpka wakazoea.
Madaraja mliozoea kuyaona ni haya 👇😂😂😂
EXRGCGoWkAAOEhC.jpg
 
Back
Top Bottom