Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha upumbavu Kenya nayo Ina mito, maziwa na bahari, tumewapita kwasababu hamtuwezi kwenye hiyo sekta [emoji23][emoji23] kwani ukikubali ukweli utakufa.?
Emu rudia tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukinionyesha sehemu mhimu mhimu kenya hakuna mawasiliano ya barabara kisa mito au maziwa unitag
 
Acha upumbavu Kenya nayo Ina mito, maziwa na bahari, tumewapita kwasababu hamtuwezi kwenye hiyo sekta 😂😂 kwani ukikubali ukweli utakufa.?
Daraja ndogo that is less than 1km ndo unatumia to compare countries that are thousands of km2 hehe very mediocre way of thinking
 
That is because we focusing on other things things like wind power it will take years before muanze and our technology you cant really compare so nyinyi kujenga sijui a one km bridge exite's you shows we are far apart and have diffrent priorities
Mpuuzi hyo.huoni na mimi naenda nae hvo hvo..
Eti anataka bado tu forcus na madaraja wakati hyo kero tuliimaliza kitambo kw kiwango kikubwa
 
Acha upumbavu Kenya nayo Ina mito, maziwa na bahari, tumewapita kwasababu hamtuwezi kwenye hiyo sekta 😂😂 kwani ukikubali ukweli utakufa.?
Na uwache ushamba daraja na sijui foot bridge can never in anyway determine a countries development
 
That is because we focusing on other things things like wind power it will take years before muanze and our technology you cant really compare so nyinyi kujenga sijui a one km bridge exite's you shows we are far apart and have diffrent priorities
Acha bas kuongea uongo bhana bwana Simba, Madaraja sio priority.? 😂😂, Haya mtaunganisha vipi mji na mji bila Madaraja.? Ninyi priority yenu nowdays so ni barabara.? Barabara mwenzake ni daraja.. kuhusu nishati wala hata usiguse mzee ivyo vi wind power vyenu si chochote kwa miradi ya nishati tunayowekeza kwa sasa, technology kubwaa kabisa, tuna gesi, Kinyerezi 1&2 power plant, tuna Julius Nyerere hydro power 2115M .. tuna Rusumo ..hizo zote ni ongoing constructions mzee .. mtatuambia nini kuhusu kuwekeza kwenye nishati kwa sasa.?
 
Emu rudia tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukinionyesha sehemu mhimu mhimu kenya hakuna mawasiliano ya barabara kisa mito au maziwa unitag
Owky, watu tunataka hayo madaraja tuyaone 😂😂😂 au yanatia aibu.?
 
Acha bas kuongea uongo bhana bwana Simba, Madaraja sio priority.? 😂😂, Haya mtaunganisha vipi mji na mji bila Madaraja.? Ninyi priority yenu nowdays so ni barabara.? Barabara mwenzake ni daraja.. kuhusu nishati wala hata usiguse mzee ivyo vi wind power vyenu si chochote kwa miradi ya nishati tunayowekeza kwa sasa, technology kubwaa kabisa, tuna gesi, Kinyerezi 1&2 power plant, tuna Julius Nyerere hydro power 2115M .. tuna Rusumo ..hizo zote ni ongoing constructions mzee .. mtatuambia nini kuhusu kuwekeza kwenye nishati kwa sasa.?
Miradi yenyu ni ile ile usiku mchana you be singing about the same projects na the only viable project I can say is thenyerere hydro power zingine ni utoto tu eti flyover eti bridge eti sijui kibanda nothing really that adds value to the economy ndo maana our GDP gap inaongezeka
 
Owky, watu tunataka hayo madaraja tuyaone 😂😂😂 au yanatia aibu.?
Daraja utaweka kwa inchi kavu au? Diffrent countries have diffrent topography so cant expect to have same infrastructure kuwa logical hata kidogo behave like someone who is enlightened
 
Acha bas kuongea uongo bhana bwana Simba, Madaraja sio priority.? [emoji23][emoji23], Haya mtaunganisha vipi mji na mji bila Madaraja.? Ninyi priority yenu nowdays so ni barabara.? Barabara mwenzake ni daraja.. kuhusu nishati wala hata usiguse mzee ivyo vi wind power vyenu si chochote kwa miradi ya nishati tunayowekeza kwa sasa, technology kubwaa kabisa, tuna gesi, Kinyerezi 1&2 power plant, tuna Julius Nyerere hydro power 2115M .. tuna Rusumo ..hizo zote ni ongoing constructions mzee .. mtatuambia nini kuhusu kuwekeza kwenye nishati kwa sasa.?
Umeona sasa km nyie ndio bado mnazinduka sai, unatutajia sisi ongoing na wakati kwetu vipo tiyari jamani..
We jamaa heri ukalale tu manake unajiabisha bure..
Yani nyie ndio wakujilinganisha na sisi kuhusu nishati, wakati wenzenu tunapiga tenda za kimataifa kuhusu nishati..

Lala mzee baba
 
Miradi yenyu ni ile ile usiku mchana you be singing about the same projects na the only viable project I can say is thenyerere hydro power zingine ni utoto tu eti flyover eti bridge eti sijui kibanda nothing really that adds value to the economy ndo maana our GDP gap inaongezeka
Mind u miradi ya umeme under construction hapa bongo ni kama 3500M hiv ... 😂😂 GDP yenu inapanda kwasababu mnakopa sanaa 80% ya GDP yenu ni madeni .. Mimi sipimi maendeleo kwa GDP, twende ground mzee uko kwenye mambo za GDP ni uongo mtupu, hamuwezi kufanya chochote mpaka mkope, sisi tunajinasimu tupo vizur kwasababu tumeweza kuyafanya makubwa in just 5 years, na upo uwezekano mkubwa kwasasa tukawa tumewapita mbali sana
 
Owky, watu tunataka hayo madaraja tuyaone [emoji23][emoji23][emoji23] au yanatia aibu.?
Jamaa kaenda google kapagawa na vitu vilivyokula chumvi sasa ni kumoto manake havigusiki..unashindwa na lipi kuyaleta[emoji1787][emoji1787] au huamini macho yako baada ya kuyapekua..pole sana aunty
 
Back
Top Bottom