Wapi ulipoandika geuza au geuzia, hebu nioneshe nioneEndelea kutafuta yard kw tochi mzee, siku ukipata unitag
Wacha ushamba, siku hizi geuza na geuzia ni sawa sio![]()







Huyo anarekebisha ushamba wake kwa gharama zetu, alikuwa hajui kama EMU hazigeuzi bali ikifika kile kichwa cha mbele kinazimwa kinawashwa cha nyuma zen safari inaendelea, angalia swali lake hapaView attachment 1859557
😂😂😂😂 Halafu anajifanya eti anajua kiswahili na yeye 😂😂 kumbe hata mtoto wa darasa la saba anaweza kumfundisha Kiswahili huyo mbuzi,.. nimempa maelezo ya mada ya sarufi na matumizi ya lugha class seven, anasema eti nime google 😂😂😂 .. nna mashaka huenda huyu ni mpuuzi tu wa mtaani hata shule hajasoma..
Hivi kwenye hii background ndio yale maghorofa ya NHC Kawe?
Huo ni uzembe km taifa, yani nchi nzima watu wanakosa kitu cha kufanya zaidi ya kuwaza makalio mwishowe wengine wanaishia kwenda na vigodoro..Akuna kitu unaweza zaid ya kuja n excuses every timekwaiyo ulitak tusiburudike na umbaji wa Mungu?