Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Enaki city, huu mji unajengwa bana
1626174227635.png

 
Wasomali wanawaboost sana kwenye urembo bila hivyo ingekua aibu

View attachment 1859590
Kenya watoto wakali kibao, sema tu hujatembea kenya..nyie mnafikiria kenya ni kisii tu..
Hivi utasema huyu mtoto wa kabila gani
254769484547_status_8c74046bde6d46cda43f7844f7da4b97.jpg


Hyu kiufupi kibongo bongo wanasema "mlugaluga"
Nimewapeni leakage jamani, ukipata kabila lake nakulipa
 

Burhani tower, Mombasa nasema kila siku imezidii darView attachment 1860114View attachment 1860115

Hili jengo nililitafuta mitandaoni lkn nikaambulia patupu walai, asante kw kutuletea hii picha..
Kuanzia 2019 dec hapo hao jamaa walianza ku clear site, lilipoanza kwenda juu nikajaribu kulisaka lkn nikaambulia patupu na kuufyata
Lipo kona bondeni opposite na msikiti Noor pale kando utakutana na gulf bank ya pili iko na hoteli kabisa..
Kuna jamaa hapo chini kw pembeni rqmadhanini anauza vitu vitamu vitamu kweli...customer wake mkubwa
 
Kenya watoto wakali kibao, sema tu hujatembea kenya..nyie mnafikiria kenya ni kisii tu..
Hivi utasema huyu mtoto wa kabila ganiView attachment 1860112

Hyu kiufupi kibongo bongo wanasema "mlugaluga"
Nimewapeni leakage jamani, ukipata kabila lake nakulipa
Mgiriama au mdigo huyo,booster ya kibongo hiyo,ukienda juu kule mnaboostiwa na somalia,ingia huko machakani ndio utakumbana na kina doris ndala ndefu wana sura kama baba zao
 
Mgiriama au mdigo huyo,booster ya kibongo hiyo,ukienda juu kule mnaboostiwa na somalia,ingia huko,ingia huko machakani ndio utakumbana na kina doris ndala ndefu wana sura kama baba zao
Wadigo tz walifanya kuingia tu
Wadigo halisia wanapatikana kenya mzee, hata maasai pia vile vile..

Lkn umenoa bado, huyu yani hatokei hko kabisa lkn bado ni wa pwani
 
Hili jengo nililitafuta mitandaoni lkn nikaambulia patupu walai, asante kw kutuletea hii picha..
Kuanzia 2019 dec hapo hao jamaa walianza ku clear site, lilipoanza kwenda juu nikajaribu kulisaka lkn nikaambulia patupu na kuufyata
Lipo kona bondeni opposite na msikiti Noor pale kando utakutana na gulf bank ya pili iko na hoteli kabisa..
Kuna jamaa hapo chini kw pembeni rqmadhanini anauza vitu vitamu vitamu kweli...customer wake mkubwa
😂 Vitu vitamu sio... Itabidi nimefika! 🤣
 
Back
Top Bottom