Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kenyan sociallite shakilah
shakilah slayqueen.jpg
 
Hii ni upuzi wa kitoto. Kama mnataka kuona watoto warembo simply ingia Instagram utabasamu hukooo. Lakini wanaume wawili kupishana kati ya TZvsKE wapi kuna warembo zaidi ni upuzi wa kiwango cha wazimu.
Mgeni Karibu JF hapa tunapost tunachotaka taratibu utaelewa🙂
 
View attachment 1859487
Kuwa miss sio uzur mzee, kuna Urembo na Uzuri, hiv ni vitu viwili tofauti .. uzur ni nature Ila Urembo ni kujitengeneza ..mara nyingi mamiss hawazingatiwi kwenye uzur wao ispokua Urembo tu (kujiweka) Ila ukizungumzia uzur Tanzania kuna watu wazuri haswaaa wengi sana kuliko nchi yoyote Africa mashariki.. kuanzia sura zao, maumbo makubwa na kuvaa vizur pia
Hawa hajawahi fika salon,NI WAZURI NA WAREMBO 😍🤩 WA OROMO/BORANA WA KENYA!NATURAL BEAUTY🥰😍🤩👌. 🇰🇪
Screenshot_20210719-114643.png
Screenshot_20210719-114808.png
Screenshot_20210719-115532.png
 
Hii ni upuzi wa kitoto. Kama mnataka kuona watoto warembo simply ingia Instagram utabasamu hukooo. Lakini wanaume wawili kupishana kati ya TZvsKE wapi kuna warembo zaidi ni upuzi wa kiwango cha wazimu.
kila siku ina mada yake mzee
 
Hiwezi nipangia jinsi ya kuandika, we mwnywe ilikua hujui
Nirudi juu sai nikuletee ujinga wako, we ilikua hujui kitu kuhusu neno geuka we unachokijua zaidi ni "jeuka"

Sasa nilipoanza mimi kuleta ule mfano sasa mwenzako kakimbia google haraka kufikiri km labda nimekosea ndio akaenda kukutana na vitu hko hata hakuvielewa akaamua a copy paste tu..

Alafu swali langu limekua gumu kweli,
Geuka na geuzia ni visawe
Niambie maana ya jeuzia kwanza
Screenshot_20210717-203540.jpg
 
Jamani mbona mmeshift mada ya mjadala maana mada hapa ilikuwa Reli ya Tz na Kunya wakaanza kupotosha mada na kupost picha za wanawake turudi kwenye mada ya msingi SGR
Hawataki, wanapambana kwa nguvu zote kubadili mada
 
FACTS is what matters,TZ HAMNA KITU NO BRAIN NO BEAUTY.KENYA 1 EARTH TITLE,Au una wikipidia yako?UTAJUA HAMJUI!View attachment 1859414View attachment 1859415View attachment 1859416View attachment 1859419
Unaleta taji lisilo julikana, eti miss earth analijua nani, alafu wameandika assumed

Huyu hapa miss world Africa 2005, the most popular beauty competition in the world

image_downloader_1626608068139.jpg
image_downloader_1626608006812.jpg
image_downloader_1626608012742.jpg
 
Umesema tayari mkuu. Maneno ya kupost picha za watu umeokota mtandaoni kisha unatinga nazo na hujuani nao ni
Kweli kabisa, si ajabu mtu mwnywe unampost hku lkn ile siku utakutana nae anakuona km shombo vile
 
Eti yard ya jeuza alaf eti na yeye anajua Kiswahili me nimemwambia ntamfundisha Kiswahili bure sitaki ada yake, anakaza fuvu ..
Huyo anarekebisha ushamba wake kwa gharama zetu, alikuwa hajui kama EMU hazigeuzi bali ikifika kile kichwa cha mbele kinazimwa kinawashwa cha nyuma zen safari inaendelea, angalia swali lake hapa
Screenshot_20210717-203540.jpg
 
Back
Top Bottom