komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Haiwezekani watu wazembe waweze kuwaza vitu vya msingi..Maneno ya mkosaji![]()
Kuna watu wamebeba na wapo kimya wametulia
Haiwezekani watu wazembe waweze kuwaza vitu vya msingi..Maneno ya mkosaji![]()
Mgeni Karibu JF hapa tunapost tunachotaka taratibu utaelewa🙂Hii ni upuzi wa kitoto. Kama mnataka kuona watoto warembo simply ingia Instagram utabasamu hukooo. Lakini wanaume wawili kupishana kati ya TZvsKE wapi kuna warembo zaidi ni upuzi wa kiwango cha wazimu.
Hawa hajawahi fika salon,NI WAZURI NA WAREMBO 😍🤩 WA OROMO/BORANA WA KENYA!NATURAL BEAUTY🥰😍🤩👌. 🇰🇪View attachment 1859487
Kuwa miss sio uzur mzee, kuna Urembo na Uzuri, hiv ni vitu viwili tofauti .. uzur ni nature Ila Urembo ni kujitengeneza ..mara nyingi mamiss hawazingatiwi kwenye uzur wao ispokua Urembo tu (kujiweka) Ila ukizungumzia uzur Tanzania kuna watu wazuri haswaaa wengi sana kuliko nchi yoyote Africa mashariki.. kuanzia sura zao, maumbo makubwa na kuvaa vizur pia
Tuoneshe nyuma, tuone. Hawa ni waTz
View attachment 1859445
kila siku ina mada yake mzeeHii ni upuzi wa kitoto. Kama mnataka kuona watoto warembo simply ingia Instagram utabasamu hukooo. Lakini wanaume wawili kupishana kati ya TZvsKE wapi kuna warembo zaidi ni upuzi wa kiwango cha wazimu.
Umesema tayari mkuu. Maneno ya kupost picha za watu umeokota mtandaoni kisha unatinga nazo na hujuani nao ni 💩💩Kila mtu apost mkewe tuau vipi mkuu
Ni kweli kaka. Lakini kuna mada zingine ni uchwarakila siku ina mada yake mzee
🤣🤣🤣🤣🤣Acha tujufurahishe kidogoKila mtu apost mkewe tuau vipi mkuu
Niambie maana ya jeuzia kwanzaHiwezi nipangia jinsi ya kuandika, we mwnywe ilikua hujui
Nirudi juu sai nikuletee ujinga wako, we ilikua hujui kitu kuhusu neno geuka we unachokijua zaidi ni "jeuka"
Sasa nilipoanza mimi kuleta ule mfano sasa mwenzako kakimbia google haraka kufikiri km labda nimekosea ndio akaenda kukutana na vitu hko hata hakuvielewa akaamua a copy paste tu..
Alafu swali langu limekua gumu kweli,
Geuka na geuzia ni visawe![]()




Hawataki, wanapambana kwa nguvu zote kubadili madaJamani mbona mmeshift mada ya mjadala maana mada hapa ilikuwa Reli ya Tz na Kunya wakaanza kupotosha mada na kupost picha za wanawake turudi kwenye mada ya msingi SGR









Unaleta taji lisilo julikana, eti miss earth analijua nani, alafu wameandika assumedFACTS is what matters,TZ HAMNA KITUNO BRAIN
NO BEAUTY.KENYA 1 EARTH TITLE
,Au una wikipidia yako
?UTAJUA HAMJUI!
View attachment 1859414View attachment 1859415View attachment 1859416View attachment 1859419









Usinipotezew mda wangu mimi na upuuzi wako wa kurukaruka..
Kweli kabisa, si ajabu mtu mwnywe unampost hku lkn ile siku utakutana nae anakuona km shombo vileUmesema tayari mkuu. Maneno ya kupost picha za watu umeokota mtandaoni kisha unatinga nazo na hujuani nao ni![]()

hacha hizo wa kugeuzwa!! 🤣 🤣 🤷♂️🤷♂️Usinipotezew mda wangu mimi na upuuzi wako wa kurukaruka..
Kwaheri
Huyo anarekebisha ushamba wake kwa gharama zetu, alikuwa hajui kama EMU hazigeuzi bali ikifika kile kichwa cha mbele kinazimwa kinawashwa cha nyuma zen safari inaendelea, angalia swali lake hapaEti yard ya jeuza
alaf eti na yeye anajua Kiswahili
me nimemwambia ntamfundisha Kiswahili bure sitaki ada yake, anakaza fuvu ..












Hii wakenya walibeba mzeeUnaleta taji lisilo julikana, eti miss earth analijua nani, alafu wameandika assumed
Huyu hapa miss world Africa 2005, the most popular beauty competition in the world
View attachment 1859541View attachment 1859542View attachment 1859544![]()
Miss World 2005 (2005) - IMDb
Miss World 2005 (2005) Nancy Sumari as Self - Miss Tanzania: Top 6www.imdb.com
Endelea kutafuta yard kw tochi mzee, siku ukipata unitagHuyo anarekebisha ushamba wake kwa gharama zetu, alikuwa hajui kama EMU hazigeuzi bali ikifika kile kichwa cha mbele kinazimwa kinawashwa cha nyuma zen safari inaendelea, angalia swali lake hapaView attachment 1859557

