Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kituo cha Mwendokasi kinachojengwa Ilala Boma ni kirefu wakuu. Nadhani ni zaidi ya mita 200.
Phase one ilichukuliwa kama pilot study tutegemee maboresho mengi zaidi kwny phases zinazofuata wahusika wenyewe walishawahi kusema juu la hili.
 
Phase one ilichukuliwa kama pilot study tutegemee maboresho mengi zaidi kwny phases zinazofuata wahusika wenyewe walishawahi kusema juu la hili.
BRT ya Kenya imekaa kisiasa,kituo chembamba kweli,halafu mpk leo bado kiko kimoja no dedicated lanes no platform,"tumetekeleza" si tuliahidi BRT haya hiyo hapo na ni kweli😂 😂 hahaha
 
BRT ya Kenya imekaa kisiasa,kituo chembamba kweli,halafu mpk leo bado kiko kimoja no dedicated lanes no platform,"tumetekeleza" si tuliahidi BRT haya hiyo hapo na ni kweli😂 😂 hahaha
Chembamba??? kwani ni soko ndo iwe kubwa? Bararani Huwa hakuna watu wengi wa kuabiri basi mbona kiwe kikubwa??? Ama cha maridadi tu???? Bro kuwa logical wacha kuongea for the sake of talking
 
Unadhani mimi ni jobless kama wewe. 🤣 🤣 Nilikupatia kazi ya Software Development ukanikimbia. Acha ubabaishaji.
Mimi ndo nilikuambia kazi yako iwe demanding???? Bro me I work smart. I work hard but am hardly working but still I make it... this life is for the taking haitaki hasira na makasiriko hehe so kama huna picha haithuru kusema nimeishiwa kaka 😊 itakua ungwana but hizi sasa vile utapa tapa Heshima yako inaisha
 
Mimi ndo nilikuambia kazi yako iwe demanding???? Bro me I work smart. I work hard but am hardly working but still I make it... this life is for the taking haitaki hasira na makasiriko hehe so kama huna picha haithuru kusema nimeishiwa kaka 😊 itakua ungwana but hizi sasa vile utapa tapa Heshima yako inaisha
Mimi since tuanze battle Jana sikutulia muda wowote. Unakuja kwa kuvizia. Unaondoka tu bila kutoa taarifa then unaibuka. Mzee on nimeweka vyuo kibao.
Kama vipi tafuta picha zako unazozijua kisha baada ya kazi nitakusitua. But kwa sasa mzee nipo job Iam not a jobless.
 
Chembamba??? kwani ni soko ndo iwe kubwa? Bararani Huwa hakuna watu wengi wa kuabiri basi mbona kiwe kikubwa??? Ama cha maridadi tu???? Bro kuwa logical wacha kuongea for the sake of talking
Najua mpaka sasa kuna vitu umejifunza.
Usiichulie Tanzania na propaganda mnazolishwa.
 
Duuhh kaka salute, kumbe ulikuwa bado unawanyoosha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hehehehee walikuwa wanaulizia Aquatic stadium [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-1075273727.jpg
 
komora096 vipi bado unaiamini Google kwamba tuna universities 40?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
komora096 vipi bado unaiamini Google kwamba tuna universities 40?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hamna University kumbe mwenzako Amekua akipost institutes hehe tukianza institutes labda nikue napost list after list kama picha
 
Itakua vigumu kuelimisha a Tanzanian with blind patriotism syndrome., hawezi kuambilika chochote ambacho hakiambatani na fikra zake., utachoka buree., bora u just post undeniable facts.,
These lazy bones need to be reminded that Kenya is way ahead of them in many spheres. Hizi kelele za uzalendo is not enough to topple Kenya at the helm of East African economic and sociopolitical game.
 
Back
Top Bottom