Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Ngoja iishezitakuwepo jirani ila hii BRT yenu mmh!!!....we waonaje?!.
Ngoja iishezitakuwepo jirani ila hii BRT yenu mmh!!!....we waonaje?!.
Hapa wacha niwapongeze Wazanzibari kwa kufungua a new modern airport terminal. Hii terminal 3 ya Zanzibar airport ni modern sana. Nawatakia Wazanzibari kila la kheri na mpokee watalii wengi zaidi. Mimi nawapenda Wazanzibari kushinda Malazy kutoka Mainland. Watu kutoka Tanganyika wana roho mbaya ila watu wa Zanzibar ni wakarimu.
Punguza kiherehereiishe nn ss![]()
Kitu hakina airbridges! kitu shukapandashuka kama SGR Nairobi Terminal!Best cruise terminal in EA, Mombasa
View attachment 1848372View attachment 1848373View attachment 1848375
Hatua baada ya hatuaKitu hakina airbridges!
Do you know the meaning of University!?Nimejifunza wewe kumbe mlagai tu you dont value dignity and you ain't a gentleman Bora Geza Ulole he sometimes stands for the truth mwambie akufunze kuwa mugwana kidogo
Hapa wacha niwapongeze Wazanzibari kwa kufungua a new modern airport terminal. Hii terminal 3 ya Zanzibar airport ni modern sana. Nawatakia Wazanzibari kila la kheri na mpokee watalii wengi zaidi. Mimi nawapenda Wazanzibari kushinda Malazy kutoka Mainland. Watu kutoka Tanganyika wana roho mbaya ila watu wa Zanzibar ni wakarimu.
Hospistali nzuri no wonder ndo maana wamefilisika mpaka kuuza kampuni Tanzania nadhani waliwekeza sana kwenye huu mradi!AAR Hospital..wameamua pia ku invest..uku Nairobi
View attachment 1848411View attachment 1848412View attachment 1848413
Niliona video moja apo..venye walivyo kua wakifunga kazi na kujulisha wafanyikazi..ilikua inahuzunisha sana kwa sababu wengi wao walikua wanalia juu apo ilikua tegemeo lao..Ndio maana mimi husema atakama ukiajiriwa fungua biashara yako kando iku support kazi ya kuajiriwa huisha wakati wowote..ni vyeme ikwishe lakini ikupate kama umejipangaHospistali nzuri no wonder ndo maana wamefilisika mpaka kuuza kampuni Tanzania nadhani waliwekeza sana kwenye huu mradi!
According to Business Daily'Sisi tunaconnect villages, tumebakisha vijijini 2000 tu', alisikika mtanzania mmoja akisema![]()
![]()
![]()
Kenya tops world in growth in new electricity connections
Kenya has been ranked as the top country in the world in reducing the population with no access to electricity.www.theeastafrican.co.ke
![]()
Kenya tops world in growth in new electricity connections
Dah! Yaani Kenya kuja kuifikia mbona ni safari. ======== Kenya has been ranked as the top country in the world in reducing the population with no access to electricity, pointing to the impact of the State’s focus on rural areas for nearly a decade. The Energy Progress Report for 2021, a...www.jamiiforums.com





Picha ndugu tuone...Kituo cha Mwendokasi kinachojengwa Ilala Boma ni kirefu wakuu. Nadhani ni zaidi ya mita 200.
Wacha unafkiiHapa wacha niwapongeze Wazanzibari kwa kufungua a new modern airport terminal. Hii terminal 3 ya Zanzibar airport ni modern sana. Nawatakia Wazanzibari kila la kheri na mpokee watalii wengi zaidi. Mimi nawapenda Wazanzibari kushinda Malazy kutoka Mainland. Watu kutoka Tanganyika wana roho mbaya ila watu wa Zanzibar ni wakarimu.