Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani ukiskia real estate kwanza unaelewa nn ??? 🤣🤣🤣🤣 yani unachekesha sana unazungumzia utajiri wa eneo wakat 75% wako kwenye slums maisha ambayo hata nguruwe hawezi ishi, nchi ambayo wanafaidi wajanja tena makabila mawili tu kalenjin na kikuyu wengine kwangu pakavu tia mchuzi
Dar mtu kumiliki nyumba zaidi ya 30 ni kitu cha kawaida sana yani haoni ajabu sio nyinyi unakuta tajiri mmoja anamiliki estate ya 40b kirubi alaf wengine watamiliki nn na nusu ya eneo la nairobi ni misitu na national parks??
Nakupatia taarifa uliyoleta wewe mwenyewe sasa unaanza kubabaika na kutoa povu. Hiyo real estate value unayoleta hapa kila siku imekuumbua sasa unaanza hasira. Nairobi is richer compared to your glorified fishing village. That's the bitter pill you can't take. It has a bigger middle-class population than all other cities in this region. That's another bitter pill you won't take down your throat. Hayo ya slums mbona tumeyazoea? Mbona hujiulizi licha ya hayo changamoto zote Nairobi is still richer than Dar, has a bigger middle-class population na mambo mengine? Number mtazidi kusoma. Povu ruksa
 
Today nataka niwakomeshe wakenya na Agriculture.
TEA FARMING in MUFINDI IRINGA TANZANI - Kenya ni kuzimu

1625825917999.png


1625826313440.png


1625826563077.png
 
Jamaa kawa engineer ghafla
Hawa vilaza chuki itawauwa. Instead of being bitter about every project in Kenya si wajikakamue tu na wao wafanye miradi kama hizo? How does being salty all the time help them?
 
Hawa vilaza chuki itawauwa. Instead of being bitter about every project in Kenya si wajikakamue tu na wao wafanye miradi kama hizo? How does being salty all the time help them?

That's Southern bypass towards Mombasa road. Yani Nairobi kwa kweli ni jiji linaeleweka. Just look at that level of planning and organization! Ingekuwa ni kule south ungeona mabanda za dreamhouses kila mahali thrown here and there in a very disorganised manner.
watulete picha kama hizi ambazo ziko nje ya cbd...
 
Train zenyewe mitumba yetu ya DMU zinaafadhali

Double stack hazibebi

Mizigo yenyewe hakuna alafu isitoshe yote inaishia dar slum.

Haya niambieni hawa maskini walihitaji SGR ama ndo walitaka kushindana na ndovu
Mbona unatoa povu kwa uchungu kulikoni?
 
Back
Top Bottom