Train zenyewe mitumba yetu ya DMU zinaafadhali
Double stack hazibebi
Mizigo yenyewe hakuna alafu isitoshe yote inaishia dar slum.
Haya niambieni hawa maskini walihitaji SGR ama ndo walitaka kushindana na ndovu[emoji1787]
vitu kama hawa jamaa vinawaumiza balaa