NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Victoria Dar.Wapo huko
Victoria Dar.Wapo huko
Lipo Kurasini .Hili jengo ni la nini? lipo Mbagala? linapendeza...
![]()
Now how can you separate Kariakoo and the CBD in Dar, then where is the CBD??? When you walk around in Dar you get to see that the CBD people refer to is more of Posta and Kariokoo.Kariakoo is not a CBD..but those photos are so beautiful.. Thanks for awesome pics
Africab, nadhani wanahusika na uuzaji wa magari.Hili jengo ni la nini? lipo Mbagala? linapendeza...
![]()
Africab, nadhani wanahusika na uuzaji wa magari.View attachment 1828829View attachment 1828831
Okwanatengeneza vifaa vya umeme
Africab | Manufacturers of Wires, Cables & Tranformers in Tanzania
Africab Group is the leading manufacturer of wires and cables in Tanzania, and also present in Zambia, Zimbabwe, Congo, and Madagascar through a distribution network.www.africab.com

Namba zao!!Victoria Dar.
Kariakoo na Posta ni vitu viwili tofauti kabisaNow how can you separate Kariakoo and the CBD in Dar, then where is the CBD??? When you walk around in Dar you get to see that the CBD people refer to is more of Posta and Kariokoo.











ona... Tz is a very very small/minute influence in the global platform. waChina wako sawa kutumia Mandarin kwa masomo yao coz wao atleast wako na usemi duniani. (uchumi yao inatishia ata ya US na EU). na nyinyi jee...🤔. ole wangu watzii.. ata africa yenyewe hammpoMental slavery inawatesa sana.
Wachina kufundishwa kwa kichina hushangai.
Waarabu kufundishwa kwa kiarabu hushangai.
Nchi mbalimbali kufundishwa kwa kutumia lugha zao hushangai.
Ila Watanzania kufundishwa kwa kiswahili unashangaa.
Kenya not yet Uhuru.
Daah..what happened to Angola
So uchumi yao ilianza kwa kutisha au sio? Kwanini nyie wakenya hamna akili za ku argue hata vitu vidogo vidogo? Elewa jamaa alichosema zen ndo uongee, ivi nyie mmeenda shule kweli nyie? Km kingereza ndo akili mbn nyie hamna kabisa akili? Tunawazidi kila kitu humu kwenye hii battle kuanzia kuelewa mada, matumizi ya lugha zote tunawazidi, yn nyie mmejaza Mavi tu kwenye miili yenuona... Tz is a very very small/minute influence in the global platform. waChina wako sawa kutumia Mandarin kwa masomo yao coz wao atleast wako na usemi duniani. (uchumi yao inatisha ata ya US na EU). na nyinyi jee.... ole wangu watzii.. ata africa yenyewe hammpo








Scarm iyo ipotezee.Daah..what happened to Angola







hio, 'the very best views of Mt Kilimanjaro are only captured from Amboseli, Kenya'..View attachment 1828278View attachment 1828280View attachment 1828281all I said was the most iconic views of kilimanjaro are seen from amboseli national park in kenya, we dont care where the mountain is all we care about is the view..
KDF ni jeshi la wafu.Haya nikisema ohh ichoboy mchawi haya
Mwengine uyoo, yn mlima uwe Tz lkn usionekane ila uonekane Kenya, kichwa kizima kimejaa Mavi tupuhio the very best views ya kilimanjaro from amboseli,
kenya tumekulia kweli... hio cheddar/dollar$$... na bado...












watailisha ngombe nyazi na molases, wataipeleka mtoni,.. lakini sisi ndo wa kukamua.. 😆😆hio the very best views ya kilimanjaro from amboseli,
kenya tumekulia kweli... hio cheddar/dollar$$..😆😆😆. na bado...