Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Guys Mbezi Luiz Bus Terminal is huge.
Inaitwa Magufuli Bus Terminal.
Inaipita isiolo international airport ya Kenya
images - 2021-06-22T130747.615.jpeg
images - 2021-06-22T130737.121.jpeg
Eu_aPPlXUAMhFvp.jpg
 
Mpaka islii nairobi kuna slums🤣🤣👇
 
Lugha ya Malkia hawaiwezi ila wanalazimisha tuu. Lakini labda alivyosema effluent huenda alimaanisha uchafu wa kibera na slum zingine [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukweli usemwe kiingereza kilikuja na wenyewe, sio chetu, hilo tunakubali. Ila hicho kiswahili mnachokiita chenyu na bado mnapuyanga kama kawaida, vipi tena? 😂 😂 😂
 
Kiswahili cha kitoto hicho, hku "swala" wanasema wale watoto ambao wanajifunza kuongea[emoji1787][emoji1787]
Jamaa wanashida sana, kuna wale wa R na L alafu pia kuna wengine kila neno wanaanza na "H"
Umenikumbusha, watoto wadogo wanaoanza kuongea KE ndio husema swala, 🤣🤣🤣🤣 yaani waliiga kwa watoto hiyo 'swala' 😅
 
Kiswahili chetu sio lazima kifanane ni kiswahili chenu mbaya. Huku Kenya mnyama huyo anaitwa Swara. End of story. Full stop.
komora096 wachana na hawa wajinga. Unapoteza muda wako bure. Hata kiingereza cha marekani hakifanani na cha Uingereza. Hatutalazimishwa kutumia kiswahili chao kibovu. Sisi tuna kiswahili chetu.

Jamaa wanapingana mpka na facts[emoji1787][emoji1787]
Kuna moja nilileta hapa ina mpka bendera yao lkn bado hawataki..
Matatizo ya R na L hawa majamaa yanawaumbua tu kila siku

Wanajiona kwamba wao waliunda kiswahili kumbe kiswahili kilikuja na waarabu.
😂😂😂 Nacheka sana nikifkiria huu upuuzi mnaoongea, by the way kama kuna yeyote kati ya ninyi wawili anajiona anajua kiswahili, basi niingie nae kwenye mashindano mimi na yeye, nitauliza maswali yangu machache tu, kutumia kamusi, google n.k rukhsa.. msipotezee watu mda wao kwa vitu vidogo, mchongo nimeuhamishia kwangu
 
Ukweli usemwe kiingereza kilikuja na wenyewe, sio chetu, hilo tunakubali. Ila hicho kiswahili mnachokiita chenyu na bado mnapuyanga kama kawaida, vipi tena? 😂 😂 😂
Mzee tunaongelea battle Nairobi vs Dar es salaam. Vimeisha vya kuonesha tuwasaidie!?
 
Umenikumbusha, watoto wadogo wanaoanza kuongea KE ndio husema swala, 🤣🤣🤣🤣 yaani waliiga kwa watoto hiyo 'swala' 😅
Jamani jamani, we fala unajua lahaja la usanifishaji wa lugha ya kiswahili.? Unajua kwamba kiswahili sio pidgin wala creole bali ni lugha sanifu.? Je unaijua lahaja iliyotumika kusanifisha lugha ya kiswahili.? KHAA.!! HAYA MAAJABU YA MUSA, yani nyinyi wapuuzi leo hii mtufundishe sisi kiswahili.? 😂😂😂
 
Back
Top Bottom