ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Naendesha miguu yangu 😝😝Wewe je unaendesha ipi?
We Unaendesha gani?
Naendesha miguu yangu 😝😝Wewe je unaendesha ipi?
We Unaendesha gani?
Nani alikuambia wakenya pekee ndio tuko ndani, haha, kuna reigning champ driver na co-driver wake, Wafaransa hapo, hatari sana.Oya wadau niingie kwenye rally ya kenya nikawanyooshe 🤣🤣🤣👇👇👇👇
Nissan silvia sport 1984 chuma 😆😆😆😆View attachment 1824035View attachment 1824036View attachment 1824037View attachment 1824038View attachment 1824040View attachment 1824041View attachment 1824042View attachment 1824055
Bahat yenu 🤣🤣🤣 siumeona chuma hio mzee mungekuna kichwa kisawasawaNani alikuambia wakenya pekee ndio tuko ndani, haha, kuna reigning champ driver na co-driver wake, Wafaransa hapo, hatari sana.
Sébastien Ogier and Julien Ingrassia are the reigning drivers' and co-drivers' champions, having secured their seventh championship titles at the 2020 Rally Monza. Hyundai are the reigning manufacturers' champions and are defending their manufacturers' title for the second consecutive year.
Washashinda nchi tatu tayari,kati ya tano walizoshindana hadi sahi. Bakia nchi saba zimebaki Rally iishe. Next stop wako Nairobi/Naivasha...
Ulivyoandika tu, inaonyesha huna exposure yeyote nje ya Bongo, ndio maana unaisifia BRT na SGR ya Tz hivyo kupita kiasi. Nakuelewa sana mkuu. Tembea mzee, usikae kijijini, akili inayokudanganya mko juu ya nchi zote duniani, ni akili ya bhage! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hivi medulla oblangata yako iko sawa wewe, ati "blue buses"? Hebu wacha kujiabisha wewe, watu walitumia Trams na metros tokea 80's mitaani, unaongelea Bus? Super speed trains zilikuwa toka hata hamjui kama mtapata reli ya SGR, kuanzia Uchina hadi Jangwani kwa wamanga, wewe leo hii unajamba jamba SGR?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wako na dream ya majiji mengine duniani!!Badala ya kutengeneza signatures kwa ajili ya majiji yao wako bize kuiga iga,kinachokera zaidi wanajenga vitu sub standards,magorofa yote waliojenga kwa kuiga iga ni vituko way far ukifananisha na majengo yenyewe husika! Kwanza ni vifupi.Na mengine unawezakuta ni machafu tu muda wote,Ndo maana naipenda bongo tunajenga vitu vyetu wenyewe state of art kuanzia BRT stations those blue buses to SGR huwezi kuta sehemu yoyote duniani ila bongo tu!Patamu na panaponoga zaidi ni facilities za uhakika na imara zinazoweza kushindana sehemu yoyote duniani.
Hivi ndio vyuma sasa... 👇 😂 😂 😂Bahat yenu 🤣🤣🤣 siumeona chuma hio mzee mungekuna kichwa kisawasawa
Umezaliwa juzi tu wewe huijui historia bado 🤣🤣🤣👇👇👇👇
Umezaliwa juzi tu wewe huijui historia bado 🤣🤣🤣👇👇👇👇
Oya wadau niingie kwenye rally ya kenya nikawanyooshe
Nissan silvia sport 1984 chumaView attachment 1824035View attachment 1824036View attachment 1824037View attachment 1824038View attachment 1824040View attachment 1824041View attachment 1824042View attachment 1824055View attachment 1824097

Thika Town😁😁😁😁
Usilete uchafu kenyaOya wadau niingie kwenye rally ya kenya nikawanyooshe 🤣🤣🤣👇👇👇👇
Nissan silvia sport 1984 chuma 😆😆😆😆View attachment 1824035View attachment 1824036View attachment 1824037View attachment 1824038View attachment 1824040View attachment 1824041View attachment 1824042View attachment 1824055View attachment 1824097
Jamani mnaona vumbi hilo la ilala kwa pedestrian walks.Mitaa ya ilala dar 👇👇👇 lindi st
View attachment 1824091View attachment 1824092View attachment 1824093View attachment 1824094
inaonekana walimu wako walipata sana shida kukuelewesha ulipokuwa unasoma. Hapa WAKUDAMSH hana maana kwamba TZ ndio wa kwanza kujenga vitu hivyo bali anaongelea uniqueness ya hivyo vitu tunaVyojenga especially in africa tofauti na nyie mambo yenu mengi ni copy & paste kuanzia majengo n.k hakuna uniqueness. UMEELEWA SASA SLUM BOY.Ulivyoandika tu, inaonyesha huna exposure yeyote nje ya Bongo, ndio maana unaisifia BRT na SGR ya Tz hivyo kupita kiasi. Nakuelewa sana mkuu. Tembea mzee, usikae kijijini, akili inayokudanganya mko juu ya nchi zote duniani, ni akili ya bhage! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hivi medulla oblangata yako iko sawa wewe, ati "blue buses"? Hebu wacha kujiabisha wewe, watu walitumia Trams na metros tokea 80's mitaani, unaongelea Bus? Super speed trains zilikuwa toka hata hamjui kama mtapata reli ya SGR, kuanzia Uchina hadi Jangwani kwa wamanga, wewe leo hii unajamba jamba SGR?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tunataka uweke vyuma vya Kunyaland mzee acha kushobokea vya nchi za wengine. Kama hamna vyuma vya maana ni vizuri tu ukakubali na ndio uungwana siyo kujimwambafy huku huna chochote.
Kwa hivyo BRT, SGR ni unique huko kwenyu, aisee kutokusoma ni kubaya! Watu wanatumia flying & amphibious automobiles, wewe unaniambia BRT yenyu ni unique wakati zilikuwepo toka 70's...🤣 🤣 🤣 🤣 🤣inaonekana walimu wako walipata sana shida kukuelewesha ulipokuwa unasoma. Hapa WAKUDAMSH hana maana kwamba TZ ndio wa kwanza kujenga vitu hivyo bali anaongelea uniqueness ya hivyo vitu tunaVyojenga especially in africa tofauti na nyie mambo yenu mengi ni copy & paste kuanzia majengo n.k hakuna uniqueness. UMEELEWA SASA SLUM BOY.
Hiyo picha ya kwanza ni ya KE, hizo zingine niza baadhi ya participants wa hizo nchi zingine zinazoshindana. 😂 😂 😂 My friend tuliza boli, hii kitu hata tunateuka sahi, aka zilipendwa... 😂Tunataka uweke vyuma vya Kunyaland mzee acha kushobokea vya nchi za wengine. Kama hamna vyuma vya maana ni vizuri tu ukakubali na ndio uungwana siyo kujimwambafy huku huna chochote.
Tuoneshe picha za Kilimani tucheke kidogo 🤣 🤣🤣Jamani mnaona vumbi hilo la ilala kwa pedestrian walks.