Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani sura zenu zilivyo km nyani, mwanamke hajulikani km mwanaume, mwanaume sura ngumu km beberu, vichwa vina mabonde mabonde km milima
stivosimpleboy-photo-2021_06_19_16_01-1.jpg
stivosimpleboy-photo-2021_06_19_16_01.jpg

๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚
 
Unapo edit kitu edit vizuri. Au unataka tukuumbue!? ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Ndio umeijua Photoshop leo!?
Tianeni bhana, kwani hata kama ime editiwa, huyo mwenye kufanya hivyo hajui kiswahili, si mnasema ni chenyu? ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
 
Inasikitisha Sana! humu ndani tunataniana kwa kila Hali Ila huyu jamaa anavuka mipaka sio kwa JF tuu Bali tamaduni zetu kumsema alie tangulia mbele ya Haki vibaya unakosea Sana jirani hakuna alie mkamilifu in this world

Suala la huyo jamaa kutukana lina baraka zote kutoka uongozi wa jf hivyo tukubaliane tu na hiyo hali ingawa sio njema. Umeona tusi alilotoa kwa tusan?
 
Suala la huyo jamaa kutukana lina baraka zote kutoka uongozi wa jf hivyo tukubaliane tu na hiyo hali ingawa sio njema. Umeona tusi alilotoa kwa tusan?
Huyo ni mshenzi sana ndiyo maana tunaenda nae kishenzi shenzi km anavyotaka, anaonekana amekulia malezi mabovu sn utoto wake, I bet even his fellow Kenyans here in this thread are not happy with his tongue sema hawasemi tu.
 
Looks like infamous Brazilian statue.
Wako na dream ya majiji mengine duniani!!Badala ya kutengeneza signatures kwa ajili ya majiji yao wako bize kuiga iga,kinachokera zaidi wanajenga vitu sub standards,magorofa yote waliojenga kwa kuiga iga ni vituko way far ukifananisha na majengo yenyewe husika! Kwanza ni vifupi.Na mengine unawezakuta ni machafu tu muda wote,Ndo maana naipenda bongo tunajenga vitu vyetu wenyewe state of art kuanzia BRT stations those blue buses to SGR huwezi kuta sehemu yoyote duniani ila bongo tu!Patamu na panaponoga zaidi ni facilities za uhakika na imara zinazoweza kushindana sehemu yoyote duniani.
 
Back
Top Bottom