Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lugha ya wakenya ni ipi!?
Kiswahili kitukuzwe! 🤣 🤣 🤣 Jamaa mnatiana tyuu? 🙆🏾‍♂️😬😂
IMG_20210619_123026.jpg
 
Hhakuna kujifanya kitu. Personally I can speak seven diffrent languages 3 being international mtu kujua lugha ya kumuwezesha kuongea na the rest of the world haithuru. Sasa nikue tu lugha ya mama nikisafiri itali nitaongea aje???? Nro aliitle bit of common sense
Ndio upumbavu wenu wakenya. Kujifanya wazungu. Lugha gani unaijua vizuri nikueleze vyema!?
 


Wanasemaga anayecheka wa mwisho cheko lake ndio lina sauti sana?
Mna gani la kucheka? Me sijawai ona sgr ya tanzania wacha iishe ifanye kwanza ndo muongee kuongelea kitu ambacho haijaisha haisaidii
 
Hhakuna kujifanya kitu. Personally I can speak seven diffrent languages 3 being international mtu kujua lugha ya kumuwezesha kuongea na the rest of the world haithuru. Sasa nikue tu lugha ya mama nikisafiri itali nitaongea aje???? Nro aliitle bit of common sense
Zitaje.
 
MaguFOOLi alitaka kuua upinzani. Aendelee kuteketea jehanamu. View attachment 1823519

Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
Kwa upendo kabisa nikuulize ndugu hivi Magufuli alikutendea nini wakati wa uhai wake?mbona hua unachuki nae kiasi hiki?kiukweli hapa wako wengi ambao pengine kwa namna moja ama nyingine hawakumkubali jamaa lakini si kwa chuki za namna hii.
Duuuh ndugu umejawa chuki hadi kwa mfuu be humble sote tutakufa wema na waovu wote hufaa.
Mungu akuponyeshe majeraha kama kuna mahali uliumizwa aisee si kwa uchunguu huu,Jitahidi sasa wewe uwe mwema kuliko yeye usiwe na kisasi nae ili ujitofautishe na matendo ya hayati Magufuli.


Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Kwa upendo kabisa nikuulize ndugu hivi Magufuli alikutendea nini wakati wa uhai wake?mbona hua unachuki nae kiasi hiki?kiukweli hapa wako wengi ambao pengine kwa namna moja ama nyingine hawakumkubali jamaa lakini si kwa chuki za namna hii.
Duuuh ndugu umejawa chuki hadi kwa mfuu be humble sote tutakufa wema na waovu wote hufaa.
Mungu akuponyeshe majeraha kama kuna mahali uliumizwa aisee si kwa uchunguu huu,Jitahidi sasa wewe uwe mwema kuliko yeye usiwe na kisasi nae ili ujitofautishe na matendo ya hayati Magufuli.


Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Inasikitisha Sana! humu ndani tunataniana kwa kila Hali Ila huyu jamaa anavuka mipaka sio kwa JF tuu Bali tamaduni zetu kumsema alie tangulia mbele ya Haki vibaya unakosea Sana jirani hakuna alie mkamilifu in this world 😔😔😔😔
 
Back
Top Bottom