Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwendo wa tofali kwenda juu 🤣🤣🤣ila wachina 🙌🙌🙌🙌🙌View attachment 1820966View attachment 1820967
Germany & Budapest 😂😂😂 usiwe mshamba sana!
Gruenbruecke_A14_Schwerin.jpg

Szerémi_bridge,_Lágymányos,_2016_Újbuda.jpg
 
Naona anailiza eti ile flyover ya Kobdele Kisumu inabeba nagari mangapi kwa siku. This nig**r doesn't even know that the essence of building an interchange is to enable free-flow of traffic in a busy junction to avoid snarl ups. Yani hata yeye hajielewi
Huyu anapenda arguments za kitoto, nilimshtukizia kitambo.
 
Ngoja nikupe somo brt yetu ilivyo simple,brt yetu ina vituo vikuu vi5,yan vituo zinapoanzia route na zinapoishia,kimara,ubungo,morocco,k'koo na kivukoni,ilivyo simple iwapo natokea kimara naelekea kivukoni na kimara sijaikuta gari ya kivukoni,napanda basi lolote nitakalolikuta kama la morocco au kariakoo,coz najua nitashuka magomeni au fire,pale nitapata basi inayoenda kivukoni inayotokea morocco au ubungo kwa nauli yangu ile ile,au lah naweza kupandia kivukoni nikawa labda sijapata seat,kufika fire naliona bus linalotokea k'koo kwenda kimara lina abiria wachache,naweza kushuka kwenye lile nilitoka nalo kivukoni ambalo sikupata seat nikapanda linalotokea k'koo ambalo lina seat,ninapokata tiketi ile itakua invalid nitakapotoka nje ya kituo tu,sasa hiyo ya kwenu lenye vituo vya kushukia na kupandia separate hiyo huko kwenu itakua ya kwanza kuisikia,kiukweli mnakurupuka hiyo thika road aikuwekewa future ije kuwa brt,sie wenzenu 95% ya barabara zetu toka enzi ya mkoloni tuliacha reserve ya brt na watembea kwa miguu
Haikuwekewa future iwe na brt kwn hyo inayojengwa ni nn?
Alafu km ni hvo mumefeli sio kw ubaya, yani mabasi yanapiga km matatu
Khee yani unashuka unaunganisha aisee
 
Anatuambia eti Mwanza inajitosheleza. And mind you this is their second biggest city. Ni kama kusema Dar pia ilikuwa inajitosheleza until one year ago when it had its first ever interchange. Hawa watu kwa visingizio hawajambo
Jamaa yani hata kujitetea hajui, sasa pale second largest city inajitosholezaje na wakati ina vitu kibao ina luck sana sana upande wa barabara
 
Haikuwekewa future iwe na brt kwn hyo inayojengwa ni nn?
Alafu km ni hvo mumefeli sio kw ubaya, yani mabasi yanapiga km matatu
Khee yani unashuka unaunganisha aisee
Toka hapo baba ndogo slum utoe tongo tongo,dunia nzima nchi zilizo brt,ukikata tiketi inakua na masaa kabla ya kuwa invalid,tiketi yako moja unaweza kuunganisha hata buses 5
 
Toka hapo baba ndogo slum utoe tongo tongo,dunia nzima nchi zilizo brt,ukikata tiketi inakua na masaa kabla ya kuwa invalid,tiketi yako moja unaweza kuunganisha hata buses 5
Kumbe brt zenyu ni za kukata ticket pekee, damn, na huku mnaringa. Wacha chai sasa, from my experience, brt hutumika smart cards 99% the 1% ni ya wale wa temporary, wasiokuwa na haja ya cards, i.e tourists nk..
NB-tickets haziwi na masaa Labda zenyu tu. Ticket ukinunua ni kama umechukuwa distance flani, so hata kesho yake unaweza itumia hiyo ticket kama hukusafiri. Haiwi invalid sababu bado haijawa registered kwa system. Toka kijijini uingie duniani, utoe togotogo! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kumbe brt zenyu ni za kukata ticket pekee, damn, na huku mnaringa. Wacha chai sasa, from my experience, brt hutumika smart cards 99% the 1% ni ya wale wa temporary, wasiokuwa na haja ya cards, i.e tourists nk..
NB-tickets haziwi na masaa Labda zenyu tu. Ticket ukinunua ni kama umechukuwa distance flani, so hata kesho yake unaweza itumia hiyo ticket kama hukusafiri. Haiwi invalid sababu bado haijawa registered kwa system. Tuko kijijini uingie duniani, utoe togotogo!
Mpuuzi hyo, nilitaka kumuuliza km hukuitumia je
 
Back
Top Bottom