komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Mwanza hii hii inayojulikaniwaMwanza ni jiji, tena mwanza ni jiji kubwa na uzuri wa mwanza bara bara ni nyingi sana za mitaa ndio kinachofanya foleni isiwepo na pia over 90% ya street za mwanza zote paved roads na pili mwanza ina over 15km 4 ways from airport to CBD, na bado kuna barabara nyingi sana zinatanuliwatoeni akili chafu kwamba ukiwa na ile overpass ya kupanga tofali juu basi ndio ushamaliza


