Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwanza ni jiji, tena mwanza ni jiji kubwa na uzuri wa mwanza bara bara ni nyingi sana za mitaa ndio kinachofanya foleni isiwepo na pia over 90% ya street za mwanza zote paved roads na pili mwanza ina over 15km 4 ways from airport to CBD, na bado kuna barabara nyingi sana zinatanuliwa toeni akili chafu kwamba ukiwa na ile overpass ya kupanga tofali juu basi ndio ushamaliza
Mwanza hii hii inayojulikaniwa
 
Hebu msikilizeni king kiba muondoe steess🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇
 
Hebu nikuulize swali ile old design flyover ambayo iko pale kondole kisumu hupitisha gari ngap kwa siku?? Just be frank yani nilicheka sana
Hakuna kitu km old design flyover, ukitaka nenda kw engineers watakwambia
Flyovers kujengwa huangaliwa vitu vingi sana before wa design
 
Mwendo wa tofali kwenda juu 🤣🤣🤣ila wachina 🙌🙌🙌🙌🙌
892E9E72-0E39-4092-A72C-3E60A3101DD5.jpeg
DAF5D400-C650-46B2-ACAD-7E6CD9047DBB.jpeg
 
Jamaa wana mbwembwe hao,imagine iko kikorido ndio ingekua stendi ya brt ya Tanzania hizo media zao zingekuaje sijui,but iko kunyaland wanasifia kwa uso ila moyoni wanajua kabisa kama wamejipiga middle finger
Utajipigaje 'middle finger' mkuu, inakaa ndo mambo yenyu huko Dar is slum? 😂 😂 😂
 
Dar isikunyime usingizi 🤣🤣 jengeni nairobi bado sana mzee
Na hii ni magomeni mapipa na mikumi tu bado hata robo ya magomeni hatujafika 😂😂😂😂
View attachment 1820950View attachment 1820951View attachment 1820952View attachment 1820953View attachment 1820954View attachment 1820956
Am sure hata watanzania wenzako wanakushangaa kimya kimya. Na ndio maaana kila siku nasemanga wewe ni wa kupuuzwa tu. Sasa unaleta picha moja umepigwa mara ishirini in different angles alafu unajiona unamake sense. Picha yenyewe ni ya vijigorofa viwili! Hii ndio density bongolala? Hizo picha umeleta hapo zinaweza fananishwa hata na hii picha ya Luckysummer kwa concentration?
Screenshot_20210616-230313~2.png
 
Back
Top Bottom