Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You are looking for relevancy by all means hadi unatia huruma. Again, same picture, different angles just so that you look victorious. Look bongolala, that's no density. That's a block of six or seven apartments taken in different angles. Tupe kitu kama hii, sio hiyo mchezo wa watoto wa chekechea ya apartments mbili tatu alafu unasema density
Screenshot_20210616-023343~2.png
 
Mwanza ni jiji, tena mwanza ni jiji kubwa na uzuri wa mwanza bara bara ni nyingi sana za mitaa ndio kinachofanya foleni isiwepo na pia over 90% ya street za mwanza zote paved roads na pili mwanza ina over 15km 4 ways from airport to CBD, na bado kuna barabara nyingi sana zinatanuliwa 🤣🤣🤣 toeni akili chafu kwamba ukiwa na ile overpass ya kupanga tofali juu basi ndio ushamaliza
Bongolala, hata Dar ilipata interchange yake ya kwanza mwaka moja ilyopita. Unataka kuniambia kwamba hizi miaka zote Dar haijakuwa na mahitaji ya interchanges hadi mlipoamua kujenga hivi majuzi? Eti jiji la watu milioni sita ntatizo la foleni hizo miaka zote imeona tu umuhimu wa interchange hivi majuzi?! Kubali tu mnalala usingizi ila mtaamka tu. Visingizio ndio mmejaza vinywani!
 
Excuses galore! Alokuambia sisi hatufanyi kulingana na mahitaji yetu ni nani? Wewe unaishi hapo Kitui unajua kwamba hiyo interchange haitajiki hapo? Yani wewe kila kitu ni sasa tu. So unataka kutuambia kwamba Mwanza ambayo ndio jiji lenu la pili kwa ukubwa halijakuwa na mahitaji ya interchanges?
Hata uwanja wa ndege kule Chato naona walijenga wakizingatia mahitaji ya maeneo yale! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kila kukicha wanalia waachiwe wakulima kuanika mpunga pale! 🤣
 
Nilishakwambia tanzania hujenga kitu kwa mahitaji sisi hatukurupuki ovyo 🤣🤣 ww unaeza nipa faida ya ile overpass imejengwa between njia ya kwenda eledoret na kericho?? 😄😄😄 nimepita hio barabara ndio nikagundua kwann mumefeli nyinyi
Nipe faida ya Chato airport kwanza! 🤣 🤣 🤣
 
Ngoja nikupe somo brt yetu ilivyo simple,brt yetu ina vituo vikuu vi5,yan vituo zinapoanzia route na zinapoishia,kimara,ubungo,morocco,k'koo na kivukoni,ilivyo simple iwapo natokea kimara naelekea kivukoni na kimara sijaikuta gari ya kivukoni,napanda basi lolote nitakalolikuta kama la morocco au kariakoo,coz najua nitashuka magomeni au fire,pale nitapata basi inayoenda kivukoni inayotokea morocco au ubungo kwa nauli yangu ile ile,au lah naweza kupandia kivukoni nikawa labda sijapata seat,kufika fire naliona bus linalotokea k'koo kwenda kimara lina abiria wachache,naweza kushuka kwenye lile nilitoka nalo kivukoni ambalo sikupata seat nikapanda linalotokea k'koo ambalo lina seat,ninapokata tiketi ile itakua invalid nitakapotoka nje ya kituo tu,sasa hiyo ya kwenu lenye vituo vya kushukia na kupandia separate hiyo huko kwenu itakua ya kwanza kuisikia,kiukweli mnakurupuka hiyo thika road aikuwekewa future ije kuwa brt,sie wenzenu 95% ya barabara zetu toka enzi ya mkoloni tuliacha reserve ya brt na watembea kwa miguu
Inabwaga nyuma inapandisha mbele mzee, na ya upande ule mwngine nayo wataifanyia mbinu hyo hyo
 
Ngoja nikupe somo brt yetu ilivyo simple,brt yetu ina vituo vikuu vi5,yan vituo zinapoanzia route na zinapoishia,kimara,ubungo,morocco,k'koo na kivukoni,ilivyo simple iwapo natokea kimara naelekea kivukoni na kimara sijaikuta gari ya kivukoni,napanda basi lolote nitakalolikuta kama la morocco au kariakoo,coz najua nitashuka magomeni au fire,pale nitapata basi inayoenda kivukoni inayotokea morocco au ubungo kwa nauli yangu ile ile,au lah naweza kupandia kivukoni nikawa labda sijapata seat,kufika fire naliona bus linalotokea k'koo kwenda kimara lina abiria wachache,naweza kushuka kwenye lile nilitoka nalo kivukoni ambalo sikupata seat nikapanda linalotokea k'koo ambalo lina seat,ninapokata tiketi ile itakua invalid nitakapotoka nje ya kituo tu,sasa hiyo ya kwenu lenye vituo vya kushukia na kupandia separate hiyo huko kwenu itakua ya kwanza kuisikia,kiukweli mnakurupuka hiyo thika road aikuwekewa future ije kuwa brt,sie wenzenu 95% ya barabara zetu toka enzi ya mkoloni tuliacha reserve ya brt na watembea kwa miguu
Naona umeamua kupigia mbuzi gitaa
 
Huyu amelelewa Dar, hajawahi toka nje ya Bongo ndo maana akili bado haijapanuka. Atoke ajionee mambo, sio kubabaikia flyovers zilivyojengwa, wakati mambo ya kawaida hayo! 🤣 🤣 🤣
Naona anailiza eti ile flyover ya Kobdele Kisumu inabeba nagari mangapi kwa siku. This nig**r doesn't even know that the essence of building an interchange is to enable free-flow of traffic in a busy junction to avoid snarl ups. Yani hata yeye hajielewi
 
Nipe faida ya Chato airport kwanza! 🤣 🤣 🤣
Hata uwanja wa ndege kule Chato naona walijenga wakizingatia mahitaji ya maeneo yale! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kila kukicha wanalia waachiwe wakulima kuanika mpunga pale! 🤣
By the way this is a very good question to ask him. Atuambie huu uwanja ilihitajikaje kule msituni Chato na inahudumia ndege ngapi kwa siku
 
Back
Top Bottom