komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Hapo we na bibi yako mnapishana bila lawama
Hapo we na bibi yako mnapishana bila lawama
Unateseka ukiwa wapiJamaa wana mbwembwe hao,imagine iko kikorido ndio ingekua stendi ya brt ya Tanzania hizo media zingekuaje sijui,but iko kunyaland wanasifia kwa uso ila moyoni wanajua kabisa kama wamejipiga middle finger
Ukweli mchungu!!!Kwa walioelimika watalichukua na kulifanyia kazi kwa manufaa ya Wakenya na huduma iliyokusudiwa kwa watu wote.I don't see a space for lift/elevator the width of those stairs should have given space for one on wheelchair to go behind and board the elevator! As I said BRT needs at least 5 of ur highway lanes to make any sense of a mass public transport system! Mind u elevators should be connected to an overpass crossing!
![]()
Wanachekesha. Wengine wao washakua experts wa brt. Ile yao unangoja basi masaa mawili ndo wanataka tuige...... ile yao ilifeli kitamboHapo hakuna mambo ya kurundikwa watu wa kwenda sehemu zote mbili km hko kwenu
Kwn nyie ni bata, mradi bado haujaisha jamaa mshaanza kulialia jamani
"Ili na wao waonekane wana BRT"Jamaa wana mbwembwe hao,imagine iko kikorido ndio ingekua stendi ya brt ya Tanzania hizo media zingekuaje sijui,but iko kunyaland wanasifia kwa uso ila moyoni wanajua kabisa kama wamejipiga middle finger



Ile ile yenu ya kusubiria basi masaa matatu"Ili na wao waonekane wana BRT"
Huku Tanzania tukijiandaa kuanza ujenzi wa awamu ya tatu ya BRT![]()


Kuna mjinga mmoja anasifia ceiling dah!!!!!Ni kuliaibisha Taifa!!Kuweni serious kdg basi!
Huwa hawana uwezo wa kugundua mapungufu mpk yatokee na kuonekana with naked eyes, they are not critical thinkers.Ukweli mchungu!!!Kwa walioelimika watalichukua na kulifanyia kazi kwa manufaa ya Wakenya na huduma iliyokusudiwa kwa watu wote.
Huwa wanakosoa humu ila kimoyo moyo wanaumia sn, so hawawezi kusema humu wanaenda kusemea twitter"Ili na wao waonekane wana BRT"
Huku Tanzania tukijiandaa kuanza ujenzi wa awamu ya tatu ya BRT![]()






Hata mh aliepita alikua anaishi sana DAR, Yani ni DAR -DOMAfrika bhn yn huwa hatuna hata msimamo na ndiyo maana huwa tunapoteza pesa nyingi za walipa kodi kwa upuuzi km huu, kiongozi aliyepita alipambana wahamishie shughuli za kiserikali Dodoma na alifanikiwa kwa kiasi fulani lkn huyu inaonekana haitaki Dodoma kila cku yupo Dar, kwahiyo tulikuwa tunapoteza pesa kuhamasisha watumishi wahamie Dom Mana haina mashiko tena, huu ni upuuzi sana tunafanya.
99% ni nairobian zombiezMna uchumi upi wakati 99% mnaishi kwenye slums, 45% jobless 67% food donations dependency, highest taxes than any country in Africa



"Ili na wao waonekane wana BRT"
Huku Tanzania tukijiandaa kuanza ujenzi wa awamu ya tatu ya BRT![]()

wanapata sana tabu ,,,hao wakunya"Korido"![]()
Nahisi ni corridor ya kwenda kwenye kituo cha brt"Korido"![]()
Unadai hivyo vituo kuna cha kushukia tu na cha kupandia tu,hivi ushawahi kuona system ya brt inavyofanyanya kazi?Unateseka ukiwa wapi







