Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

angalia height yao from ground to roof kwa ndan... afu piga mahesabu bus likiwa hapo nie.. wanapanda kwenda juu kufata bus au? if so.. maji ya mvua yataingia huko ndan ya station.. au kama wataongeza ground-base ili kuifikia bus.. height ya station itazidi kupungua... yan its very disorderly work!!
Huo ni mradi wa mtu anakula pesa ila tayar ishakua failed project 3 yrs back 🤣🤣🤣
 
Watapinga tu Hawa Wahuni,Na Mpaka Tz BRT yao Upupu Inaonekana very Clearly😆🤣🤣🤣
Hii tabia yao ya kukana picha za Dar hawajawahi wacha. Yani hata wao hawana cha kujivunia kwa hiki kijiji chao cha uswazi
 
Kila cku nasema humu Kenya ni Mavi mnabisha, ona sasa
JamiiForums-392273680.jpg
 
Tuoneshe sehemu tu inapojengwa nuclear plant nakuahidi ukipata nitag nifunge acc mara moja 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hata huonangi aibu kushinda ukisema uonyeshwe kitu ama ufunge account? You said this about the expressway, mwishowe inajengwa. You said the same thing about 88Nairobi mwishiwe inajengwa. You said the same thing about BRT mwishiwe inajengwa. You've said the same thing about numerous road projects and development projects mwishiwe zinajengwa tu. Hivi, huchoki?
 
Back
Top Bottom