Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I don't see a space for lift/elevator the width of those stairs should have given space for one on wheelchair to go behind and board the elevator! As I said BRT needs at least 5 of ur highway lanes to make any sense of a mass public transport system! Mind u elevators should be connected to an overpass crossing!


E37uTP9UUBADL0P
Duh hawa jamaa ni vituko sana
 
angalia height yake from ground to roof kwa ndan... afu piga mahesabu bus likiwa hapo nie.. wanapanda kwenda juu kufata bus au? if so.. maji ya mvua yataingia huko ndan ya station.. au kama wataongeza ground-base ili kuifikia bus.. height ya station itazidi kupungua... yan its very disorderly work!!
Hivi high capacity bus ikishusha watu 30 hapo na wengibe 30 wakisubiria kupanda kutatosha kweli hapo? Halafu station in ruhusu bus Moja kupakia at a time lol!
 
Yani huwa ndege zinadondoka kwao kama sijui pipi zinaanguka kutoka juu..huwa nashangaa sana kwanini Kenya kila kukicha ndege imedondoka ..:. Ya pili majengo kuanguka alfu watakwambia wana standards ..standard zipi uchwara
That's what we call a failed state.
 
Nani imuume brt pambavu while tuko phase 2 now,nyie ndio wivu umewajaa hadi mnaleta vichekesho ili mradi tu muwe na brt!sie hatunaga habari kabisa na mnachikifanya that y habari zenu azitrend kabisa huku kwetu
😂😂😂😂😂Na si hii BRT ya Kenya imekuuma😄😄,, mlidhani hatuwezi kuwa na yetu🤪🤪oneni vile analialia huku😅😅,, station za kisasa hizi si zizi la ngo'mbe ka ile yenu😁
 
Hebu ondoa utoto Mzee. Sisi tunaongelea vitu vikubwa kama bridge across the sea. Nyie mnaongelea footbridges!!!?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mwengine anaongelea ndoto za kihayawani za nuclear plant wakat pesa ya km5 za reli wanaenda ufaransa kukopa
 
Back
Top Bottom