Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndo mana nkakulinganisha na mavi, unaambiwa roads nyingi za mitaani za Dar ni lami au zege lkn bado unaleta habari za pavement, c nmeleta humu mara kibao tu roads za street za Dar au unajifanya mwehu.
Hehee!!naona umeanza kujamba jamba sasa, pole pole tu na nyie mtakua nazo
 
Baki hapo! 💉💉💉🤣 Vipi lile jengo la Zenji lililoporomoka, mshalijenga tena?
Jengo la kwanza africa mashariki kabla hata nyanya yako mzaa nyaya hajazaliwa🤣🤣
Ujinga wako umepitiliza, sasa nenda ukawajenge hizo bara bara juu ya majumba yao huko Lamu. Hivi unajua kuna nchi wacha hata visiwa, havina Transport system zingine sababu kuu kuwa ziko ndogo sana. Changamka wewe! 🤣 🤣 🤣
haya oneni sasa😂😂😂😂
 
Ila tunasulubishaga tuwezavyo! 🤣 🤣 🤣
CAF
View attachment 1818459
CECAFA
View attachment 1818460
NB-Hiyo 'Sunderland' iliyokunywa 5 hapo ni the current Simba FC🤣🤣🤣
View attachment 1818461
View attachment 1818462
View attachment 1818463
View attachment 1818464
Mm nimekuuliza swali rahisi sana zile hela hua munapata CAF au watever zinaenda wapi ikiwa team kubwa kenya haina hata banda la choo 🤣🤣🤣 hayo maendeleo munaozungumza kila siku yako wapi ??
 
Msaada wa kenyatta ona team ndogo labisa tanzania 🤣🤣🤣👇👇👇
2972D784-DBFA-43C2-ABFE-3736B14E2139.jpeg
8E99FB16-91F5-4036-93A6-954FA4E5B57E.jpeg
 
Back
Top Bottom