Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mbona watu wanafurahia kufa kwake? i see a lot of mocks upon his death! what did he do?

 
nimeona comments nying zinasema alikuwa na shares kenya airways
Yaani Jamaa alikua na shares sehemu nyingi tu Sijui kama haco industries bado ipo ,bic pen,soft,miadi etc ndo walikua main suppliers.
 
kama ya kenya





Ila Nigeria wana hizi pia kama treni za abiria! Kwahiyo wako juu kwa Kenya!




E3hRH2KVgAccVye




E3hRH2KVcAEuSDP
 
Ila Nigeria wana hizi pia kama treni za abiria! Kwahiyo wako juu kwa Kenya!




E3hRH2KVgAccVye




E3hRH2KVcAEuSDP

Kuna mna Nigeria mmoja nliongea naye hapo juzi Kati ananiambia hizo train ziko na mechanical issues na Wana shangaa Sana kama Zita survive 😀😀😀 Tanzania na rail network yetu itakuja kuwa the best once it's completed maana I believe it's the best 🙂
 
Huyu mwamba
idea yake controversial 🙄
 
Huyu mwambaView attachment 1818698 idea yake controversial 🙄
Unajua hii mizee inaona simu kama vile ni luxury! Kutoza simu kodi mpya ni kukosa maarifa wanatakiwa watafute vyanzo vipya vya mapato kwa mfano utoroshaji wa madini ya vito ukizuiwa hiyo hela anayotaja inakusanywa kirahisi! Huduma za mawasiliano mfano upande wa data kunatakiwa kuwa bei ya chee ili kuchochea maendeleo ya teknologia! apps, bootcamps, startups zote zinategemea bei chee kwenye upande wa data!
 
Unajua hii mizee inaona simu kama vile ni luxury! Kutoza simu kodi mpya ni kukosa maarifa wanatakiwa watafute vyanzo vipya vya mapato kwa mfano utoroshaji wa madini ya vito ukizuiwa hiyo hela anayotaja inakusanywa kirahisi! Huduma za mawasiliano mfano upande wa data kunatakiwa kuwa bei ya chee ili kuchochea maendeleo ya teknologia! apps, bootcamps, startups zote zinategemea bei chee kwenye upande wa data!
Kweli Sana mkuu nimejikuta nacheka na idea alotoa ambayo sio favourable kwetu Sisi consumers kama ulivo tangulia kusema there are so many sectors that the government can use as a source of income hapa Musa alitoa point zero.
 
Back
Top Bottom