Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
0156A33F-5F12-4A56-9E8F-38033200A009.jpeg
DCE3772A-CF79-4473-AECA-A742D366D484.jpeg
6C4190CA-00E8-4654-9F8D-FF966865FFFB.jpeg
 
Hazina hela nyingi za kujionesha haya oneni maneno hayo 🤣🤣🤣🤣 team lazma iwe na uwezo wakujiendeleza kimaendeleo huwezi kua na team kubwa kenya haina hata banda la ofisi alaf useme hamujioneshi acha utoto wewe
Sasa si hela mnazo nyinyi, nimekwambia hatuna hela ila tunasulubishaga vitimu vya watu vyenye mihela!
 
Mwendo ni ule ule 🇹🇿🇹🇿🇹🇿👇👇👇
 
Naona umepost culture ya ushagoo zanzibar wao wanatumia magari lakini lamu mpaka kiyama usafiri wao ni punda 🤣🤣🤣

Usinikasirikie mm 🤣🤣 hakuna asiejua kama punda ndio usafiri mkuu lamu hilo liko wazi duniani

Ujinga wako umepitiliza, sasa nenda ukawajenge hizo bara bara juu ya majumba yao huko Lamu. Hivi unajua kuna nchi wacha hata visiwa, havina Transport system zingine sababu kuu kuwa ziko ndogo sana. Changamka wewe! 🤣 🤣 🤣
 
Ujinga wako umepitiliza, sasa nenda ukawajenge hizo bara bara juu ya majumba yao huko Lamu. Hivi unajua kuna nchi wacha hata visiwa, havina Transport system zingine sababu kuu kuwa ziko ndogo sana. Changamka wewe! 🤣 🤣 🤣
🤣🤣🤣🤣 sasa unanikasirikia mm wakat lami ya kwanza kujengwa lamu ilikua mwaka toka dunia imeumbwa au ndio ile ikifanyika kenya sio neno ikifanyika tanzania ni tatizo
Lamu pamoja kua na bandar kwa sasa bado maisha ni duni sana tena sana na bado punda ndio usafiri wao mkubwa mpaka dunia itasmama tena
 
Si mlisema ni affordable houses, kumbe majengo ya serikali? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 💉💉💉
Ni bank of tanzania hakuna alisema ni affordable housing ukipa sehemu mtu kasema nitag mm 😆😆😆😆 unaanza kutafuta njia yakutokea
 
🤣🤣🤣🤣 sasa unanikasirikia mm wakat lami ya kwanza kujengwa lamu ilikua mwaka toka dunia imeumbwa au ndio ile ikifanyika kenya sio neno ikifanyika tanzania ni tatizo
Lamu pamoja kua na bandar kwa sasa bado maisha ni duni sana tena sana na bado punda ndio usafiri wao mkubwa mpaka dunia itasmama tena
Baki hapo! 💉💉💉🤣 Vipi lile jengo la Zenji lililoporomoka, mshalijenga tena?
 
Katika mawaziri waliofeli kenya ni huyu na yule mwenzie wa afya 😄😄😄😄
 
Back
Top Bottom