Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ufisadi africa upo ila unazidiana tanzania upo lakini ni mdogo sana kulinganisha na kenya au nigeria ambao ni magwiji wa ufisadi na inatumbulika dunia nzima 🤣🤣🤣🤣 kitu cha 1m mkenya anakwambia 1b
Duh, umesevu, nlkuwa nakuangushia majanga yenyu! 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Pavement ndio barabara huko kwenu? Ninyi wakunya akili mufilisi
Pole sana kw maumivu, yani hapo we unaona pavement[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukitaka pavement mombasa pia zipo
FB_IMG_16236200976350355.jpg
FB_IMG_16236199027194026.jpg
 
Tanzania imesaidi nchi nyingi sana kwenye harakati za uhuru ikiwemo south africa, angola, zimbabwe, rwanda and burundi,congo, malawi, mozambique, uganda etc 😃😃😃 hii nchi inahistoria kubwa
Upiganiaji wa uhuru, duh! Na hapo ukumbuke mliwasaidia kujiokoa kutoka kwa wahuni wa kwao ndani si wazungu, kama ni wazungu ningekuelewa. Lakini kama ni wao kwa wao, that's petty. Alafu wakati huo kwanza ni kitambo. 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Upiganiaji wa uhuru, duh! Na hapo ukumbuke mliwasaidia kujiokoa kutoka kwa wahuni wa kwao ndani si wazungu, kama ni wazungu ningekuelewa. Lakini kama ni wao kwa wao, that's petty. Alafu wakati huo kwanza ni kitambo. 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Unafkiri uhuru kipindi hicho kilikua kinapatikana kirahisi ama ??? 😆😆😆 muulize jomo kenyatta shida alioipata ni haki yake achukue ardhi tu
 
Ni AFC nazungumzia! 🤣 🤣 🤣
Sio gormahia tena tumehamisha magoli tayar 🤣🤣🤣🤣 gor mahia ofisi yao ni banda la choo kibera

unazungumzia lile bus waliopewa msaada na kenyatta pale ikulu 😂😂😂😂 au kuna lingine
 
Mambo ya mpira hata sijui tunashindania nini hapa, chezeni nyinyi, lakini rekodi za dunia tuvunje sisi. Period! 🤣 🤣 🤣
🤣🤣🤣🤣 derby ya simba na yanga ni kubwa ya tatu africa na ndio yenye pesa nyingi ya tatu africa pia

ndio maana onyango yuko huku anajutia kuzaliwa kenya 😄😄😄
 
Unafkiri uhuru kipindi hicho kilikua kinapatikana kirahisi ama ??? 😆😆😆 muulize jomo kenyatta shida alioipata ni haki yake achukue ardhi tu
So unamaanisha ulimpiga mzungu hizo nchi zote mlizoenda sio Waafrika ka nyinyi??? 🙆🏾‍♂️🤐
 
🤣🤣🤣🤣 derby ya simba na yanga ni kubwa ya tatu africa na ndio yenye pesa nyingi ya tatu africa pia

ndio maana onyango yuko huku anajutia kuzaliwa kenya 😄😄😄
Wacha yeye, wengine wanacheza nchi zenye hela nyingi kuliko Tz. So sioni kitu hapo, ata alikosea, angeenda sign hata Uchina, hela iongezeke! 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Sio gormahia tena tumehamisha magoli tayar 🤣🤣🤣🤣 gor mahia ofisi yao ni banda la choo kibera

unazungumzia lile bus waliopewa msaada na kenyatta pale ikulu 😂😂😂😂 au kuna lingine
Bus ni zenyu, Rekodi za dunia ni zetu. Hii dunia sijui ni nani halitambui hilo jamani! 🇰🇪 🔥 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom