Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The mighty Expressway šŸ”„šŸ”„šŸ”„šŸ”„šŸ”„šŸ˜œšŸ˜œ

View attachment 1818133

View attachment 1818134

View attachment 1818135

View attachment 1818136
Angalieni umbali wa westalnd na CBD hahahhaa ni just 3km hawa ndio wanashindana na dar 🤣🤣🤣🤣🤣
2F901C19-2E4A-40A3-B3D4-2D4C30AC7D97.jpeg
 
Usijali, najua mlipigana Kagera, wajaribuni sahi! 🤣 🤣 🤣 🤣
Tanzania imesaidi nchi nyingi sana kwenye harakati za uhuru ikiwemo south africa, angola, zimbabwe, rwanda and burundi,congo, malawi, mozambique, uganda etc 😃😃😃 hii nchi inahistoria kubwa
 
Ushakuwa manager wa Gor leo? šŸ˜‚ šŸ˜‚ šŸ˜‚
šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ‘‡šŸ‘‡šŸ‘‡šŸ‘‡šŸ‘‡ team kubwa kenya hiii nioneshe office building ya gor mahia ukipata nitag nifunge acc
EB010AEB-564E-46DE-9CFB-FEDE896D120E.jpeg
70BB5F58-10DB-4267-803D-DA3A9807A25C.jpeg
 
Kuingia afcon ujue ni pesa tu šŸ˜„šŸ˜„ alaf mpira tanzania ndio biashara yenye pesa nyingi kuliko nchi zote za east africa combined na derby ya simba na yanga ni derby kubwa ya tatu africa take it or leave it
I'll leave it!... Sipendi chai, mkimbiaji mmoja wa KE, anaweza mlisha mchezaji wa mpira Tz mwaka mmoja bila shida! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Wataka kusema hakuna ufisadi Tz? 🧐😬
Ufisadi africa upo ila unazidiana tanzania upo lakini ni mdogo sana kulinganisha na kenya au nigeria ambao ni magwiji wa ufisadi na inatumbulika dunia nzima 🤣🤣🤣🤣 kitu cha 1m mkenya anakwambia 1b
 
I'll leave it!... Sipendi chai, mkimbiaji mmoja wa KE, anaweza mlisha mchezaji wa mpira Tz mwaka mmoja bila shida! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kuingia afcon kuna pesa sasa nioneshe hio pesa gor mahia ilipata alaf ikafanya jambo kubwa kwenye team ukipata nitag 🤣🤣
 
Back
Top Bottom