Shebby01
JF-Expert Member
- Nov 11, 2020
- 2,520
- 5,872
Umeona 🤣🤣🤣Kiswahili kimemuumbua 😂😂😂
Umeona 🤣🤣🤣Kiswahili kimemuumbua 😂😂😂
debts servicing
View attachment 1818062
maana ni yake kwamba Tanzania itatumia hela ndogo kuliko wote kulipa madeni, na itatumia hela nyingi kwa maendeleo yake
kenya watatumia mara mbili yetu kulipa madeni, sisi tutatumia kufanya maendeleo, sio kulipa madeni
yaani zuzu hatoboi ikiwekwa mtanange wa mtu bee!Aka Father of Tribalism.
View attachment 1818143
Lamu 👇 😂Hahaha!!tena zanzibar ndio upupu haswa mazee
MombasaView attachment 1817916
Dar inahemeshwa sio mchezo walai
Hili eneo linakaribiana na mkoa wa Lindi.
Kitu modern hichi,ndani ya pwani! Pwahahaha🤣😁Wakenya wenzangu, sultan hastahili jamaniView attachment 1817963View attachment 1817964View attachment 1817965View attachment 1817966View attachment 1817967View attachment 1817968
Umerudi toka mafichoni lakini hueleweki, vipi dada, umekunywa chai tena? 😂 Mambo vipiHili eneo linakaribiana na mkoa wa Lindi.
View attachment 1818174
Duh!! Mimi siyo dada, Mimi ni dume la mbegu. Halafu Mimi siyo jobless kama wewe 24/7 upo Uhuru park kwenye free WiFi ukichat ndani ya JF.Umerudi toka mafichoni lakini hueleweki, vipi dada, umekunywa chai tena? 😂 Mambo vipi
💉💉💉😁Only mad man can deny that those pictures are not the same, narudia tena kukwambia hakuna mpangilio huo wa nyumba Tz hata huyo mwandishi anasema hapo ni Zanzibar lkn pia co kweli, eti Darunaumwa Mavi wewe, tangu lini Dar ikawa concentration ya nyumba km hiyo? Haitakuja kutokea daima dumu labda dunia iumbwe tena km anavyowaambia ichoboy
![]()
Sasa hilo jina vipi? 😂 Bora ungeandika hata Mike Tyson tungekuelewa... 😬😬😬Duh!! Mimi siyo dada, Mimi ni dume la mbegu. Halafu Mimi siyo jobless kama wewe 24/7 upo Uhuru park kwenye free WiFi ukichat ndani ya JF.
Umeanza kujadili jina langu tena. Umeshindwa kutetea Kenya yako!?Sasa hilo jina vipi? 😂 Bora ungeandika hata Mike Tyson tungekuelewa... 😬😬😬
Nairobi slum mulifika wapi???🤣🤣🤣 ndio team zenyewe hzo gormahia hata banda la choo hawana hzo pesa huenda wapi mukipata???Si ulisema sisi hatukufuzu? Ngoma sasa imebadilika hewani?!
Tulifika Nairobi na points tatu tulizochukua kwenu ilhali nyinyi mlifika Dar uswazini na takwimu mbaya zaidi kuliko mataifa zote zilizoshiriki
Mbona dogo na tuliambiwa 40floors 🤣🤣🤣🤣 au pesa ilikataPole baba, usijali
Jengo lilikamilika na ilianza kutumika kitambo sanaView attachment 1817848View attachment 1817849View attachment 1817851
Mwataka tufanane kumbe, wangese kweli... 😂 😂 😂