Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona estates zenu hizi, maamaaee nyie muwe na estates quality km hz c dunia itaisha cku hyo hyo
JamiiForums-166219391.jpg
 
Study did not specify the which height of buildings are in danger


No bro QS, I'm not the one who did the study on the quality of fabrics of Nairobi buildings. Usije ukaniua bure nina watoto wadogo. Go to your National Construction Council (NCC), which you have the access, you'll see the report.
Asante kw kukwepa swali langu
 
Sasa hizo slums na hizi dreamhouses zenu wapi tofauti? View attachment 1816966

Linganisha hiyo na hata hii picha ya Huruma slum 😂 😂 View attachment 1816967

Nakuambiaga some of the places categorized as slums here in nairobi ziko na unafuu tena sana than those Swahili shanties you call dreamhouses. Jana nilikupa mfano na Kariobangi na Kawangware slums ukaanza kelele zako za kawaida mara estate, mara zinamilikiwa na politicians blah blah blah!
Kwa hiyo huruma uliyoweka hapo ndo ina unafuu...we kweli una uchizi,yaani ukiiangalia tu hiyo picha ya huruma unaweza kutoa machozi si sehemu ya kuishi binadamu..
 
stupid boy 😬😬Mbona unadanganya Wakenya,unajua huko Kenya Ndio Watz wengi tunatafuta Ajira,Naomba Tanzania tusifanye vitu zitawachafua Roho Wakenya,Tutaanza kukatwa katwa😭Wivu na Uchawi itatuua Watanzania
Kiswahili chenyewe kinaonyesha wewe ni mkunya..
 
Mwanzoni wakunya wa humu walikuwa wanaongea kiswahili kichafu na chenye kukera ila nowadays wame improve kdg.
Siyo kidogo wame-improve sana na kama tungekuwa tunatoa awards ya hii shule ya Kiswahili humu basi tungewapa diploma. Wengi sasa hvi wanaandika kiswahili kinachoeleweka tofauti na hapo zamani za kale. 😀 😀 😀 😀
 
Siyo kidogo wame-improve sana na kama tungekuwa tunatoa awards ya hii shule ya Kiswahili humu basi tungewapa diploma. Wengi sasa hvi wanaandika kiswahili kinachoeleweka tofauti na hapo zamani za kale. 😀 😀 😀 😀
Nani hajui kiswahili birthplace yake ni modern day kenya.
 
Back
Top Bottom