Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Which city is this? 😅😅😅
1623587653245.png
 
Wewe na Aljazeera hamna tofauti, ndio maana jengo lao likapigwa kombora na myahudi, sababu ya fikra za kichawi chawi kama hizi! 🤣 🤣 🤣

Sasa mimi kosa langu ni lipi? unanipiga mawe tu kama myahudi mchawi alivyompiga muarabu.
🤣 🤣 🤣
 
Mwanzoni wakati huu uzi unaanza ilikuwa ngumu kuwashawishi Watz kwamba tupo juu ya nchi zote za EA but nowadays hata wale UFIPA waliokuwa wanatukana humu wamepotea, wamebaki kuongea siasa tu
Nenda kwa politics section uandike huo ushuzi hapo juu ujionee kile kichapo utapata.
 
Back
Top Bottom